Uzembe mkubwa Tanesco Mwanza

Uzembe mkubwa Tanesco Mwanza

fire and fury

Member
Joined
Jan 8, 2018
Posts
12
Reaction score
3
Siku ya pili leo waya zimekatika kwenye line ya kutoka Hindu hospital kwenda Bugando Hospital hapa Mwanza.

Nyaya
zinaning’inia na kuhatarisha maisha.

Cha kushangaza gari la Tanesco emergency linapita maeneo hayo hayo. Ukiwauliza wanasema hawana taarifa rasmi.

Ukipiga simu ya emergency unaambiwa wana taarifa wanashughulikia.

Hakuna kinachofanyika mpaka maafa yatakapotokea.
 
Siku ya pili leo waya zimekatika kwenye line ya kutoka Hindu hospital kwenda Bugando Hospital hapa Mwanza.

Nyaya
zinaning’inia na kuhatarisha maisha.

Cha kushangaza gari la Tanesco emergency linapita maeneo hayo hayo. Ukiwauliza wanasema hawana taarifa rasmi.

Ukipiga simu ya emergency unaambiwa wana taarifa wanashughulikia.

Hakuna kinachofanyika mpaka maafa yatakapotokea.
Ndugu Mteja,

Tunashukuru kwa taarifa hii muhimumu tumeipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi
 
Ndugu Mteja,

Tunashukuru kwa taarifa hii muhimumu tumeipokea kwa ufatiliaji na hatua zaidi
Ndugu mteja

Tunashukuru tena kwa kuwasiliana na TANESCO,tunakujulisha kuwa taarifa hii imeshafanyiwa kazi

Endelea kufurahia huduma

0748550000
 
Ndugu mteja

Tunashukuru tena kwa kuwasiliana na TANESCO,tunakujulisha kuwa taarifa hii imeshafanyiwa kazi

Endelea kufurahia huduma

0748550000
Nendeni sio kutoa Namba tu
 
Ndugu mteja

Tunashukuru tena kwa kuwasiliana na TANESCO,tunakujulisha kuwa taarifa hii imeshafanyiwa kazi

Endelea kufurahia huduma

0748550000
Mdau kapandisha uzi siku ya 3 sasa ndipo mnaamka kutoka usingizini kama utadhani mnaishi visiwa vya Hawaii(Mashariki ya Mbali)

Hovyo kabisa, hamjali
 
Mdau kapandisha uzi siku ya 3 sasa ndipo mnaamka kutoka usingizini kama utadhani mnaishi visiwa vya Hawaii(Mashariki ya Mbali)

Hovyo kabisa, hamjali
Ahsante sana, tutaendelea kuboresha, mrejesho wako ni maelekezo kwetu kama huduma kwa wateja
 
Tanesco mwanza Ni jipu,huduma mbovu,ufatiliaji duni,dharau nk,hata hizo namba mnazotoa Ni geresha tu,mnachojua ninkuwaita watu ndugu tu,mkipita na vile vigari vyenu vya kijani mnajonaga Sana wakati huduma zenu Ni uhalo
 
Tanesco mwanza Ni jipu,huduma mbovu,ufatiliaji duni,dharau nk,hata hizo namba mnazotoa Ni geresha tu,mnachojua ninkuwaita watu ndugu tu,mkipita na vile vigari vyenu vya kijani mnajonaga Sana wakati huduma zenu Ni uhalo
Ndugu Mteja

Tafadhali tupatie taarifa kamili kwa huduma bora

Jina

Simu

Eneo

Wilaya

Namba ya taarifa

Tatizo

Ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja

SIMU 0748550000
 
Ndugu Mteja

Tafadhali tupatie taarifa kamili kwa huduma bora

Jina

Simu

Eneo

Wilaya

Namba ya taarifa

Tatizo

Ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja

SIMU 0748550000
Hizo namba huwa hazipatikanagi
 
Ndugu Mteja

Tafadhali tupatie taarifa kamili kwa huduma bora

Jina

Simu

Eneo

Wilaya

Namba ya taarifa

Tatizo

Ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja

SIMU 0748550000
Ndo mbinu yenu mpya ya kujua majina huku jf [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom