M mkata uzi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2025 Posts 1,910 Reaction score 5,447 Oct 19, 2025 #1 walengwa wakiwa ni waajiriwa zaidi. Uzeeni ni bora uwe na mzigo wa kutosha unaukata taratibu (Unaweza kuwa na vibiashara vidogo ili usikae sana ndani) Au ufungue biashara uwe unasubiria faida
walengwa wakiwa ni waajiriwa zaidi. Uzeeni ni bora uwe na mzigo wa kutosha unaukata taratibu (Unaweza kuwa na vibiashara vidogo ili usikae sana ndani) Au ufungue biashara uwe unasubiria faida
Mjusi Sharobalo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2025 Posts 7,442 Reaction score 12,709 Oct 20, 2025 #2 Waajiriwa wakizeeka huwa ni masikini zaidi kuliko wafanya biashara.
MamaSamia2025 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2012 Posts 19,288 Reaction score 39,974 Oct 20, 2025 #3 Mwisho wa kutafuta hela ni pale utakapovuta pumzi ya mwisho. Kinyume na hapo hakuna cha uzee wala nini.
Mwisho wa kutafuta hela ni pale utakapovuta pumzi ya mwisho. Kinyume na hapo hakuna cha uzee wala nini.