JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,510
- 7,541
Ulitaka apotezwe kama Ben Saanane au achezee shaba kama Lissu!? Kichaa sio wa kubishana naye.Kasubiri JPM kafa ndio kaamua kumsema Kabudi akiamini hana mtetezi. Anaweza kuwa mkweli lakini ni muoga pia.