PreGE2025 Jenerali Ulimwengu - no reforms no election 2025 wana madai ya msingi

PreGE2025 Jenerali Ulimwengu - no reforms no election 2025 wana madai ya msingi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Bagamoyo

Platinum Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
31,821
Reaction score
36,519
14 Aprili 2025

JENERALI ULIMWENGU - NO REFORMS NO ELECTION 2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=DVu9sNRqeXM

Chaguzi za 2019, 2020 na 2024 uvunjaji wa kushangaza wa kuvuruga uchaguzi yalifanyika bila haya, asema Jenerali Ulimwengu.

Serikali inatakiwa iwe na haya isifanye mambo ya aibu kama ya 2019, 2020 na 2024 yaliyotokea wamejivunjia heshima na hii inatupeleka mahali pagumu sana

Wale wanaopinga kuona haya kwa serikali ndiyo wanasulubiwa hii ni jambo la ajabu sana anasisitiza Jenerali Ulimwengu

Naamini kuna wachache ndani ya CCM wanaoipenda nchi yao ambao wanaweza kuwaambia wenzao wasio na haya ndani ya CCM wajirudi ili kunusuru nchi yetu

Nikichuja madai ya wanaodai No Reforms No Election 2025 kuna mambo ya msingi, mfano INEC ipachikwe jina Tume Huru hata ivishwe hirizi ya 'uhuru' ukweli uteuzi wa mwenyekiti wa INEC na wajumbe wake hawawezi kutenda haki kwa wasio CCM

Nimetembea nchi nyingi zilikuwa na wastaarabu kule Sierra Leone, Somalia , Central African Republic walikuwa watu wapole sana ila kulipotokea raia kuchoka uonevu tunaona jinsi nchi hizo zilizokuja kulipuka vurugu ktk nchi hizo

Serikali ya Rais Samia Hassan imedhamiria kuwakamata wapinzani wake wa kisiasa ili wasishiriki uchaguzi. Nchi yetu tayari ina vita vya wenyewe kwa wenyewe mfano watu kupotezwa, kutekwa Mzee Kibao, Deus Soka na wengine wengi ni kiashiria cha vita ya wenyewe kwa wenyewe Tanzania

Tanzania tunaona watu wachache sana wenye sigda kati paji lake la uso huku wanafanya mambo ya haramu kabisa kunyima haki kwa watu wengine.

Uchaguzi unaokuja haona udhu wowote bali una najisi na ni mchezo wa kuigiza. Muda upo wa kuweza kuitisha bunge na kufanya mabadiliko ya sheria na kanuni zinazosimamia mchakato mzima wa uchaguzi amalizia Jenerali Ulimwengu.
 
14 Aprili 2025

Naye mkurugenzi wa INEC Bw. Ramadhani Kailima azungumza


View: https://m.youtube.com/watch?v=S4zhMMI7IgE

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, kimezuiwa kushiriki uchaguzi mkuu wa mwaka huu, siku chache baada ya kiongozi wake kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima, amesema CHADEMA imeshindwa kusaini hati ya maadili iliyotakiwa kufanyika Jumamosi, hivyo kumaanisha kuwa chama hicho kimeondolewa kwenye uchaguzi wa Oktoba 2025.
1744664834566.jpeg
 
Eti wenye Sigda kwenye paja la uso halafu anaongea uongo na kudhulum. CCM hawana maana kabisa.
Mwana Hawa wenye sigda usoni Kwanza wasikusumbue Kwanza sio watakatifu Kwa dunia NI wale wale Tu wazee WA kulamba asali si umesikia Wa me-summoned majini SSH ashinde urais bila kupingwa.Yetu macho.
 
14 Aprili 2025

JENERALI ULIMWENGU - NO REFORMS NO ELECTION 2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=DVu9sNRqeXM

Chaguzi za 2019, 2020 na 2024 uvunjaji wa kushangaza wa kuvuruga uchaguzi yalifanyika bila haya, asema Jenerali Ulimwengu.

Serikali inatakiwa iwe na haya isifanye mambo ya aibu kama ya 2019, 2020 na 2024 yaliyotokea wamejivunjia heshima na hii inatupeleka mahali pagumu sana

Wale wanaopinga kuona haya kwa serikali ndiyo wanasulubiwa hii ni jambo la ajabu sana anasisitiza Jenerali Ulimwengu

Naamini kuna wachache ndani ya CCM wanaoipenda nchi yao ambao wanaweza kuwaambia wenzao wasio na haya ndani ya CCM wajirudi ili kunusuru nchi yetu

Nikichuja madai ya wanaodai No Reforms No Election 2025 kuna mambo ya msingi, mfano INEC ipachikwe jina Tume Huru hata ivishwe hirizi ya 'uhuru' ukweli uteuzi wa mwenyekiti wa INEC na wajumbe wake hawawezi kutenda haki kwa wasio CCM

Nimetembea nchi nyingi zilikuwa na wastaarabu kule Sierra Leone, Somalia , Central African Republic walikuwa watu wapole sana ila kulipotokea raia kuchoka uonevu tunaona jinsi nchi hizo zilizokuja kulipuka vurugu ktk nchi hizo

Serikali ya Rais Samia Hassan imedhamiria kuwakamata wapinzani wake wa kisiasa ili wasishiriki uchaguzi. Nchi yetu tayari ina vita vya wenyewe kwa wenyewe mfano watu kupotezwa, kutekwa Mzee Kibao, Deus Soka na wengine wengi ni kiashiria cha vita ya wenyewe kwa wenyewe Tanzania

Tanzania tunaona watu wachache sana wenye sigda kati paji lake la uso huku wanafanya mambo ya haramu kabisa kunyima haki kwa watu wengine.

Uchaguzi unaokuja haona udhu wowote bali una najisi na ni mchezo wa kuigiza. Muda upo wa kuweza kuitisha bunge na kufanya mabadiliko ya sheria na kanuni zinazosimamia mchakato mzima wa uchaguzi amalizia Jenerali Ulimwengu.

Hiki ni kichwa, wajinga wakija wataanza kumtukana
 
14 Aprili 2025

Mwenyekiti AAFP tunaunga mkono No Reforms No Election 2025, Waliomfungulia Kesi Lissu wanamfanya Hujuma Dhidi ya Rais Samia Hassan

View: https://m.youtube.com/watch?v=fASg21nney8

Mwenyekiti wa chama cha AAFP, Said Soud Saidi asisitiza kama Hakuna Mageuzi Hakuna Uchaguzi 2025

AAFP cha cha wakulima tunaamini hawa waliomkamata Tundu Lissu wamewezesha moto wa NO Reforms No Election 2025 ukolee..

Mwenyekiti Said Soud Saidi hakuna namba lazima Mabadiliko, na mabadiliko yanaweza kuja kwa njia kadhaa ila sisi AAFP tunatamani njia ya mazungumzo itumike siyo njia nyingine, ila kama CCM hawataki mabadiliko ambayo ni lazima yatokee hii nchi itakwenda pabaya ...

AAFP inatoa rai, rais Samia Hassan atengeneze legacy isimuliwe kwa uzuri kwa miaka mingi ijayo kwa kujitosa kufanya Reforms / Mabadiliko ili hadithi ya mapito yake katika uongozi wa nchi hii isumuliwe vizazi na vizazi kwa mabadiliko ya kweli haki ipatikane na nchi ipone.
 
14 Aprili 2025

JENERALI ULIMWENGU - NO REFORMS NO ELECTION 2025


View: https://m.youtube.com/watch?v=DVu9sNRqeXM

Chaguzi za 2019, 2020 na 2024 uvunjaji wa kushangaza wa kuvuruga uchaguzi yalifanyika bila haya, asema Jenerali Ulimwengu.

Serikali inatakiwa iwe na haya isifanye mambo ya aibu kama ya 2019, 2020 na 2024 yaliyotokea wamejivunjia heshima na hii inatupeleka mahali pagumu sana

Wale wanaopinga kuona haya kwa serikali ndiyo wanasulubiwa hii ni jambo la ajabu sana anasisitiza Jenerali Ulimwengu

Naamini kuna wachache ndani ya CCM wanaoipenda nchi yao ambao wanaweza kuwaambia wenzao wasio na haya ndani ya CCM wajirudi ili kunusuru nchi yetu

Nikichuja madai ya wanaodai No Reforms No Election 2025 kuna mambo ya msingi, mfano INEC ipachikwe jina Tume Huru hata ivishwe hirizi ya 'uhuru' ukweli uteuzi wa mwenyekiti wa INEC na wajumbe wake hawawezi kutenda haki kwa wasio CCM

Nimetembea nchi nyingi zilikuwa na wastaarabu kule Sierra Leone, Somalia , Central African Republic walikuwa watu wapole sana ila kulipotokea raia kuchoka uonevu tunaona jinsi nchi hizo zilizokuja kulipuka vurugu ktk nchi hizo

Serikali ya Rais Samia Hassan imedhamiria kuwakamata wapinzani wake wa kisiasa ili wasishiriki uchaguzi. Nchi yetu tayari ina vita vya wenyewe kwa wenyewe mfano watu kupotezwa, kutekwa Mzee Kibao, Deus Soka na wengine wengi ni kiashiria cha vita ya wenyewe kwa wenyewe Tanzania

Tanzania tunaona watu wachache sana wenye sigda kati paji lake la uso huku wanafanya mambo ya haramu kabisa kunyima haki kwa watu wengine.

Uchaguzi unaokuja haona udhu wowote bali una najisi na ni mchezo wa kuigiza. Muda upo wa kuweza kuitisha bunge na kufanya mabadiliko ya sheria na kanuni zinazosimamia mchakato mzima wa uchaguzi amalizia Jenerali Ulimwengu.

Alikua wap huyu
 
"Tanzania tunaona watu wachache sana wenye sigda kati paji lake la uso huku wanafanya mambo ya haramu kabisa kunyima haki kwa watu wengine.
Uchaguzi unaokuja haona udhu wowote"

uchaguzi hauna udhu
 
Mtaandika nyuzi nyingi za kijinga, mtafanya maandamano na mtagomea uchaguzi humuhumu JF ila nje kwenye mitaa hakuna mambo haya.

Samia anapiga kazi na wananchi watampima kwa kazi zake.

Mitano tena
Logical truth= comformity between what is in your mind and what you speak or write.

Aisee kama vinakinzana hivi(no comformity) nikuikatili vibaya nafsi na akili yako mwenyewe😁

The object of the mind is truth always 🤣
 
Back
Top Bottom