Lindiwe nagaidi wake nimesahau jina wametoka out kujipongeza baada ya mafanikio ya kuiba gari kali 3
Gaidi amewatonya dogs wake wawe makini na mxo
Lindiwe alienda tena kwa Ayanda kuongea nae na kumwambia yupo kama baba ake na mkaidi kama yeye Ayanda akatabasamu,aliombwa kurudi home wamemuandalia chumba hata kama sio kurudi kbs,Ayanda karudi kwa Manzuza na kuulizwa kafata nini,akajiongelesha wee mwishowe akakumbatiwa na mlezi wake,naona atarudi