Uzalo Special Thread

Safi naona ayanda anaenda kugeuzwa mwizi wa magari sasa.
Hivi mxo bado hajakamatwa tu?
Ila manzuza mbishi sana
 
Pamefika patamu sana.Kila mtu arudi kwao!
 
Wanaotumia dish la DStv station ya ITV ni namba ngapi?Kwangu natumia startimes Sasa nimekutana na DStv!
 
Wanaotumia dish la DStv station ya ITV ni namba ngapi?Kwangu natumia startimes Sasa nimekutana na DStv!
Pole Sana, DSTV hakuna local channels huko ...hizo ITV,startv, channel 5,clouds utazipata kwenye ving'amuzi vingine.
 
Manzuza kisirani maandazi
Mxo anarudia kazi ya kuiba kwa zulu family
 

Lindiwe nagaidi wake nimesahau jina wametoka out kujipongeza baada ya mafanikio ya kuiba gari kali 3
Gaidi amewatonya dogs wake wawe makini na mxo
Lindiwe alienda tena kwa Ayanda kuongea nae na kumwambia yupo kama baba ake na mkaidi kama yeye Ayanda akatabasamu,aliombwa kurudi home wamemuandalia chumba hata kama sio kurudi kbs,Ayanda karudi kwa Manzuza na kuulizwa kafata nini,akajiongelesha wee mwishowe akakumbatiwa na mlezi wake,naona atarudi
 
safi sana nasubiri Jumamosi marudio yotee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…