Ayanda kafukunzwa na maNzuza
Baada ya kuweka service memorial ya Nkos,mama anaamini mtoto yupo hai why wafanye vile,Mxo analetewa nguo mpya lkn anataka waongee kuhusu Ayanda but mama ake anajikausha
Ayanda sasa anaishi kanisani maNgoba amekuja na Ayanda kamwambia kama kafukuzwa na lindiwe kamwambia arudi home mlango upo wazi