DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Watanzania wamekuwa wakifuatilia sana mwenendo mzima wa kisiasa na uchumi wa Taifa lao lakini wakiwa hawana majibu ya maswali mengi ambayo yamelikumba Taifa. Matatizo mengi sana yamelisibu Taifa lakini watawala wamekuwa wanamajibu kiduchu kujibu kiu kubwa ya Watanzania.
Lakini kadri siku zinavyosonga ukosefu wa majibu ya kukidhi kiu ya Wananchi, juu ya mambo mengi yanayolisibu Taifa ikiwemo WIZI WA MALI YA UMMA,UKOSEFU WA MAADILI YA VIONGOZI NA UMMA,HUJUMA DHIDI YA TAIFA NA MENGINEYO MENGI YANAYOHUSU USALAMA WA SISI KAMA TAIFA NA UMMA.
Lawama nyingi sasa hivi zinapelekwa kwa Wanausalama wa Taifa.Kwa Mtanzania wa kawaida wanaufahamu japo kidogo kujua kazi za Usalama wa Taifa. Ingawa hakuna mahari popote katika Taifa ambako Wananchi wanapata fursa ya kujifunza japo kidogo juu ya shughuri zinazofanya na IDALA hiyo mihimu kwa Taifa.
Lakini kwa mujibu wa mfumo wa idala [Department] hiyo ya UWT imekuwa ngumu kwa Idala hiyo kuonyesha matumaini na uwezo wake kwa umma na sasa kuwa ni sehemu ya baadhi ya Watanzania kuona kuwa HAITIMIZI WAJIBU WAKE kama msimamizi MKUU wa ULINZI NA AMANI YA TAIFA NA RASILIMALI ZOTE ZA TAIFA HILI.
Uongozi wa IDALA hiyo nyeti ufike sehemu utafakari na kuamua kwa DHATI kuwa ZAMA NA NYAKATI unaisukuma IDALA HIYO [DEPARTMENT] ya hiyo UMMA hiyo kubadilika kuwa TAASISI [INSTITUTIONS] KAMILI YENYE MAMLAKA NA UWAJIBIKAJI KWA UMMA.
Kwa kuwa kuna mengi yanayokuja na kutufanya kuwa TAIFA ndani ya MATAIFA [EAST AFRICA COMMUNITY] pasipo UWT iliyotimilifu kama TAASISI HURU [INDEPENDENT INSTITUTION] yenye mamlaka tosherezii kukabiliana na changamoto [Challenge] ambazo kwa uwezo wake wa ndani kwa sasa zimeonyesha kuwa Wananchi wana hofu na wasiwasi kwa yale yote yanayoendelea kuwa yameshindikana kudhibitika japokuwa kuna uwepo wa idala hiyo.
Kiutendaji Wananchi tulio Nje hatuna majibu lakini,tunatathimini kupitia mwenendo mzima ya haya yanayojili kwenye TAIFA katika hali halisi kama matatizo ya hujuma za kiuchumi wa Taifa,wizi wa fedha za umma,ukosefu wa maadili ya viongozi na Taifa na mengineyo mingi.
UWT kama walinzi wa TAIFA waje na jawabu la kuondoa sintofamu nyingi ambazo Taifa inazo,lakini majibu hayo yaje yakiwa na tiba ya kudumu na sio zima moto.Tiba hiyo ya kudumu ni kuifanya idala hiyo ya ulinzi kuwa taasisi yenye uwezo na mamlaka itakayojibika BUNGENI.
Kwa kuanzishwa kwa UWT kuwa TAASIASI itakuwa na UWEZO WA KIMAMLAKA [MANDATE] na hivyo kutoa na kupokea sera zenye uwezo usio na vikwazo vya kuwajibika chini ya ofisi fulani na badala yake iwajibike kwa UMMA [BUNGE].
Ndani ya TAASISI hiyo ndio mwanzo wa kuwa na idala kadha wa kadha kama vile:
-Idala ya Ulinzi
-Idala ya Mambo ya Kimataifa na Utandawazi [Uchunguzi]
-Idala ya Utumishi na Mahusiano [Utawala]
-Idala ya Uchumi na Fedha [Uchunguzi]
-Idala ya Technolojia na Sayansi [Uchunguzi]
-Idala ya Siasa, Ustawi wa Jamii na Utamaduni wa Taifa [Uchunguzi]
-Idala ya Afrika Mashariki na Mipaka [Uchunguzi]
-Idala ya Ualifu na Ujasusi [uchuguzi]
-Idala ya Maadili na Uzalendo [Uchunguzi]
-Idala ya Elimu na Ajira [uchunguzi]
-Idala ya Muungano [Uchunguzi]
-Idala ya Afya [Uchunguzi] nk
Kwa kuanzia hapo kila idala ikawajibika ipasavyo kwa kitengo [organ] kutengeneza kitu kizima ambacho ndio Taasisi.
Kwangu mimi huu ni Mtizamo tu
Nawasilisha
Lakini kadri siku zinavyosonga ukosefu wa majibu ya kukidhi kiu ya Wananchi, juu ya mambo mengi yanayolisibu Taifa ikiwemo WIZI WA MALI YA UMMA,UKOSEFU WA MAADILI YA VIONGOZI NA UMMA,HUJUMA DHIDI YA TAIFA NA MENGINEYO MENGI YANAYOHUSU USALAMA WA SISI KAMA TAIFA NA UMMA.
Lawama nyingi sasa hivi zinapelekwa kwa Wanausalama wa Taifa.Kwa Mtanzania wa kawaida wanaufahamu japo kidogo kujua kazi za Usalama wa Taifa. Ingawa hakuna mahari popote katika Taifa ambako Wananchi wanapata fursa ya kujifunza japo kidogo juu ya shughuri zinazofanya na IDALA hiyo mihimu kwa Taifa.
Lakini kwa mujibu wa mfumo wa idala [Department] hiyo ya UWT imekuwa ngumu kwa Idala hiyo kuonyesha matumaini na uwezo wake kwa umma na sasa kuwa ni sehemu ya baadhi ya Watanzania kuona kuwa HAITIMIZI WAJIBU WAKE kama msimamizi MKUU wa ULINZI NA AMANI YA TAIFA NA RASILIMALI ZOTE ZA TAIFA HILI.
Uongozi wa IDALA hiyo nyeti ufike sehemu utafakari na kuamua kwa DHATI kuwa ZAMA NA NYAKATI unaisukuma IDALA HIYO [DEPARTMENT] ya hiyo UMMA hiyo kubadilika kuwa TAASISI [INSTITUTIONS] KAMILI YENYE MAMLAKA NA UWAJIBIKAJI KWA UMMA.
Kwa kuwa kuna mengi yanayokuja na kutufanya kuwa TAIFA ndani ya MATAIFA [EAST AFRICA COMMUNITY] pasipo UWT iliyotimilifu kama TAASISI HURU [INDEPENDENT INSTITUTION] yenye mamlaka tosherezii kukabiliana na changamoto [Challenge] ambazo kwa uwezo wake wa ndani kwa sasa zimeonyesha kuwa Wananchi wana hofu na wasiwasi kwa yale yote yanayoendelea kuwa yameshindikana kudhibitika japokuwa kuna uwepo wa idala hiyo.
Kiutendaji Wananchi tulio Nje hatuna majibu lakini,tunatathimini kupitia mwenendo mzima ya haya yanayojili kwenye TAIFA katika hali halisi kama matatizo ya hujuma za kiuchumi wa Taifa,wizi wa fedha za umma,ukosefu wa maadili ya viongozi na Taifa na mengineyo mingi.
UWT kama walinzi wa TAIFA waje na jawabu la kuondoa sintofamu nyingi ambazo Taifa inazo,lakini majibu hayo yaje yakiwa na tiba ya kudumu na sio zima moto.Tiba hiyo ya kudumu ni kuifanya idala hiyo ya ulinzi kuwa taasisi yenye uwezo na mamlaka itakayojibika BUNGENI.
Kwa kuanzishwa kwa UWT kuwa TAASIASI itakuwa na UWEZO WA KIMAMLAKA [MANDATE] na hivyo kutoa na kupokea sera zenye uwezo usio na vikwazo vya kuwajibika chini ya ofisi fulani na badala yake iwajibike kwa UMMA [BUNGE].
Ndani ya TAASISI hiyo ndio mwanzo wa kuwa na idala kadha wa kadha kama vile:
-Idala ya Ulinzi
-Idala ya Mambo ya Kimataifa na Utandawazi [Uchunguzi]
-Idala ya Utumishi na Mahusiano [Utawala]
-Idala ya Uchumi na Fedha [Uchunguzi]
-Idala ya Technolojia na Sayansi [Uchunguzi]
-Idala ya Siasa, Ustawi wa Jamii na Utamaduni wa Taifa [Uchunguzi]
-Idala ya Afrika Mashariki na Mipaka [Uchunguzi]
-Idala ya Ualifu na Ujasusi [uchuguzi]
-Idala ya Maadili na Uzalendo [Uchunguzi]
-Idala ya Elimu na Ajira [uchunguzi]
-Idala ya Muungano [Uchunguzi]
-Idala ya Afya [Uchunguzi] nk
Kwa kuanzia hapo kila idala ikawajibika ipasavyo kwa kitengo [organ] kutengeneza kitu kizima ambacho ndio Taasisi.
Kwangu mimi huu ni Mtizamo tu
Nawasilisha