PreGE2025 UWT Geita wasema wapo tayari kumpigia Rais Samia Kura za 'Ndio'

PreGE2025 UWT Geita wasema wapo tayari kumpigia Rais Samia Kura za 'Ndio'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Umoja Wanawake ya Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Geita umeridhia kwa kauli moja kumpatia kura za Ndio na za kishindo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 .

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Lolensia Bukwiba katika kikao kilichowakutanisha Viongozi wa Mkoa na Wilaya wa UWT pamoja na Madiwani Wanawake Viti Maalum kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Geita katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi Mkoa kwa lengo la kuhamasisha Madiwani kuchukua fomu za kugombea Uongozi.
 
Hata asipopigiwa kura wafuatao watamsaidia kuiba kura.
Poli ccm
TISS
Walimu na watumishi wengine
Hii ndiyo ccm. Ikishindwa hoja hukimbilia POLISI, MAHAKAMA Na TISS
Sitapiga KURA
 
Umoja Wanawake ya Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Geita umeridhia kwa kauli moja kumpatia kura za Ndio na za kishindo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 .

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Lolensia Bukwiba katika kikao kilichowakutanisha Viongozi wa Mkoa na Wilaya wa UWT pamoja na Madiwani Wanawake Viti Maalum kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Geita katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi Mkoa kwa lengo la kuhamasisha Madiwani kuchukua fomu za kugombea Uongozi.
Mungu Mkuu atatenda makuu kabla ya hiyo tarehe
 
Umoja Wanawake ya Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Geita umeridhia kwa kauli moja kumpatia kura za Ndio na za kishindo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 .

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Lolensia Bukwiba katika kikao kilichowakutanisha Viongozi wa Mkoa na Wilaya wa UWT pamoja na Madiwani Wanawake Viti Maalum kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Geita katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi Mkoa kwa lengo la kuhamasisha Madiwani kuchukua fomu za kugombea Uongozi.
Geita kumejaa wwanawake wapumbavu...juzi tu wamepewa mitungi ya gas ya bure ili kununua kura zao, wasicho kijua ni kwamba ujinga wowote unao husiana na wao kugawa kura unakuja kugharimu maisha ya vijana wao.
 
Umma wa watu wa Kanda ya Ziwa hawataki hata kulisikia jina la huyo Mzanzibari.
 
Back
Top Bottom