Maji hayana chochote Bro.Labda kwa sababu siku hizi kuna joto sana hasa hapa Dar hayo yanaweza kukusaidia kwa kukatia kiu.Damu ya YESU ndiyo kiboko ya matatizo yote ,hasa hayo mauza uza.Nimekuwa nikisikia mara nyingi kuwa ikiwa ndani kwako unasumbuliwa na nguvu za giza suluhisho ni kuweka Maji ya Baraka! Binafsi nimeweka chupa ya lita moja lakini bado tunaandamwa na tatizo hilo, ndoto Za watu waliokufa, kufukuzwa na majoka, kupigwa risasi, na kuweweseka kila siku kati ya saa nne na nusu na saa tano na nusu usiku! Nakosea wapi maana nina imani sana na uwezo wa haya maji, lakini bado sijawakomesha hawa wasiojulikana! Naombeni mawazo yenu wana jamvi!
Mkuu nenda kapime malaria.Mimi nikianza kuota ndiyo za kutisha huwa napima malaria. Always nakutwa ninayo.
Pole sana kwa matatizoNimekuwa nikisikia mara nyingi kuwa ikiwa ndani kwako unasumbuliwa na nguvu za giza suluhisho ni kuweka Maji ya Baraka! Binafsi nimeweka chupa ya lita moja lakini bado tunaandamwa na tatizo hilo, ndoto Za watu waliokufa, kufukuzwa na majoka, kupigwa risasi, na kuweweseka kila siku kati ya saa nne na nusu na saa tano na nusu usiku! Nakosea wapi maana nina imani sana na uwezo wa haya maji, lakini bado sijawakomesha hawa wasiojulikana! Naombeni mawazo yenu wana jamvi!
Yaani unalalaga saa nne?, Mbona mapema sana?, No wonder unapata ndoto za ajabu ajabu,Nimekuwa nikisikia mara nyingi kuwa ikiwa ndani kwako unasumbuliwa na nguvu za giza suluhisho ni kuweka Maji ya Baraka! Binafsi nimeweka chupa ya lita moja lakini bado tunaandamwa na tatizo hilo, ndoto Za watu waliokufa, kufukuzwa na majoka, kupigwa risasi, na kuweweseka kila siku kati ya saa nne na nusu na saa tano na nusu usiku! Nakosea wapi maana nina imani sana na uwezo wa haya maji, lakini bado sijawakomesha hawa wasiojulikana! Naombeni mawazo yenu wana jamvi!
Unakula sana vyakula vizito vizito muda mfupi kabla ya kwenda kulala.Malaria hapana! Hii hali ni zaidi ya Miamala miwili sasa, na hutokea saa nne na nusu hadi saa tano! Nikilala baada ya muda huo hali huwa shwari
Apo ndo analoga zaidi huu ushaur mwingine mngekuw mnakaa kimy unachek uzi then una chill mtakujaga kuua pasipo kutarajiaNi. Mkatoliki halafu hujui kutumia hayo maji? Hayo maji nyunyuzia kwa kutumia mkono kila siku nje na ndani ya nyumba na hata hapo kitandani huku ukisema maneno ya Mungu yanayohusiana na hiyo hali iondoke, wengi hayo maji yametusaidia sana
Yani tabia iwe mbovu then unywe maji ya baraka usiachike/usitendwe?Nishakunywa Sana hayo maji lakini wapi kutendwa na kuachwa nishakuwa sugu..😂
Maji ya baraka yakikatoliki huwa yanabarikiwa lakini pia huchanganywa na chumvi.Ukiacha kubarikiwa tambua chumvi kiasili ni kinga ya uchawi.Chumvi na uchawi haviendani kabisa,Nimekuwa nikisikia mara nyingi kuwa ikiwa ndani kwako unasumbuliwa na nguvu za giza suluhisho ni kuweka Maji ya Baraka! Binafsi nimeweka chupa ya lita moja lakini bado tunaandamwa na tatizo hilo, ndoto Za watu waliokufa, kufukuzwa na majoka, kupigwa risasi, na kuweweseka kila siku kati ya saa nne na nusu na saa tano na nusu usiku! Nakosea wapi maana nina imani sana na uwezo wa haya maji, lakini bado sijawakomesha hawa wasiojulikana! Naombeni mawazo yenu wana jamvi!
Usile usiku ukiwa unalala. Hebu pata dinner saa moja usiku. Kisha utulie kwenye TV mpaka saa 3 ndipo ukalaleMalaria hapana! Hii hali ni zaidi ya Miamala miwili sasa, na hutokea saa nne na nusu hadi saa tano! Nikilala baada ya muda huo hali huwa shwari
Kwa tuliopo Dar damu ya Yesu inapatikana wapi?Maji hayana chochote Bro.Labda kwa sababu siku hizi kuna joto sana hasa hapa Dar hayo yanaweza kukusaidia kwa kukatia kiu.Damu ya YESU ndiyo kiboko ya matatizo yote ,hasa hayo mauza uza.
😂😂😂😂Mkuu nenda kapime malaria.Mimi nikianza kuota ndiyo za kutisha huwa napima malaria. Always nakutwa ninayo.
Yani huo muda unaolala wewe ndio bia huwa inanogs, halafu unakuta sebene la Papa Mobimba liko hewani, aisee unaanzaje kulala mida hiyo?Nimekuwa nikisikia mara nyingi kuwa ikiwa ndani kwako unasumbuliwa na nguvu za giza suluhisho ni kuweka Maji ya Baraka! Binafsi nimeweka chupa ya lita moja lakini bado tunaandamwa na tatizo hilo, ndoto Za watu waliokufa, kufukuzwa na majoka, kupigwa risasi, na kuweweseka kila siku kati ya saa nne na nusu na saa tano na nusu usiku! Nakosea wapi maana nina imani sana na uwezo wa haya maji, lakini bado sijawakomesha hawa wasiojulikana! Naombeni mawazo yenu wana jamvi!
Unaposema "MIAMALA" unamaanisha nini?Malaria hapana! Hii hali ni zaidi ya Miamala miwili sasa, na hutokea saa nne na nusu hadi saa tano! Nikilala baada ya muda huo hali huwa shwari