Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 1,729
- 2,532
kwa kauli hii hakika wewe ni miongoni mwao.Naunga mkono hoja, tatizo letu sie huku tuko bize kushabikia ujinga wa kina Diamond anavyocheza na nyota za wasanii wa kibongo wasiojitambua huku akiwaachia laana na mikosi maishani mwao na kushabikia wabunge warukao serekasi na kulia bungeni.