Malibichebaraka
Member
- Nov 24, 2019
- 11
- 18
Una amini juu ya huu usemi "kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake" Na je, una amini kuenda darasani ndio mafanikio au talanta "talent " uliyo nayo ndio mafanikio?
Basi mtambue ARCHERFISH, Mfizikia "physicist " ambae hakuenda darasani.
Huyu ni samaki (jamii ya samaki wadogo katika kundi LA TOXOTIDAE) Aina hii ya samaki wana maajabu ya peke
Samaki Hawa huwa wana winda windo lao wakiwa majini huku windo likiwa nchi kavu unaweza jiuliza ana wezaje!?
Huwa wanafanya hivi, pale wanaona windo lao lipo karibu hasa kwenye tawi karibu na maji au kwenye majani Karibu na maji huwa wana puliza maji mithiri ya bomba linavyotoa maji na kulinasa windo lake.
Kwanini anaitwa Mfizikia "physicist "? Ingalikuwa yeye ni mnyama? Kumbuka turudi shule kidogo na wataalamu watusaidie. Kuna kitu kinaitwa LAWS OF REFRACTION, fizikia ni sayansi "science" na sayansi ina sheria zikivunjwa utata unakuja.
Law of refraction inasema "mwanga huwa una pinda pale unapo pita Kutoka kwenye hewa kwenda kwenye maji au kioo" ina maana Kuwa unacho kiona kwenye maji hakipo sehemu sahihi "location" kitaalamu wanasema ni "vitual image " location sahihi ya hiko kitu kipo mbele au nyuma ya hiko unacho kiona.
Swali sasa ARCHERFISH anawezaje kumdungua mdudu akiwa ndani ya maji na law of refraction ina eleza tofauti na mafanikio yake Ambayo yana zaa matunda mazuri!? Je, huyu samaki katuzidi nini sisi binadamu juu ya hii law?
REF: "spit decision :how archerfish decide 19 November 2013
Archerfish, 2016.
Additional :facebook @ ZOO learning.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mtambue ARCHERFISH, Mfizikia "physicist " ambae hakuenda darasani.
Huyu ni samaki (jamii ya samaki wadogo katika kundi LA TOXOTIDAE) Aina hii ya samaki wana maajabu ya peke
Samaki Hawa huwa wana winda windo lao wakiwa majini huku windo likiwa nchi kavu unaweza jiuliza ana wezaje!?
Huwa wanafanya hivi, pale wanaona windo lao lipo karibu hasa kwenye tawi karibu na maji au kwenye majani Karibu na maji huwa wana puliza maji mithiri ya bomba linavyotoa maji na kulinasa windo lake.
Kwanini anaitwa Mfizikia "physicist "? Ingalikuwa yeye ni mnyama? Kumbuka turudi shule kidogo na wataalamu watusaidie. Kuna kitu kinaitwa LAWS OF REFRACTION, fizikia ni sayansi "science" na sayansi ina sheria zikivunjwa utata unakuja.
Law of refraction inasema "mwanga huwa una pinda pale unapo pita Kutoka kwenye hewa kwenda kwenye maji au kioo" ina maana Kuwa unacho kiona kwenye maji hakipo sehemu sahihi "location" kitaalamu wanasema ni "vitual image " location sahihi ya hiko kitu kipo mbele au nyuma ya hiko unacho kiona.
Swali sasa ARCHERFISH anawezaje kumdungua mdudu akiwa ndani ya maji na law of refraction ina eleza tofauti na mafanikio yake Ambayo yana zaa matunda mazuri!? Je, huyu samaki katuzidi nini sisi binadamu juu ya hii law?
REF: "spit decision :how archerfish decide 19 November 2013
Archerfish, 2016.
Additional :facebook @ ZOO learning.
Sent using Jamii Forums mobile app