Leo hii Tanzania imejaa bidhaa nyingi zenye ubora duni zilizotengenezwa China na ndani ya Tanzania, na kwa kiasi kidogo toka India na Thailand.
Leo hii, ni rahisi sana kuikunja nondo ya 16mm iliyotengenezwa Tanzania kuliko nondo ya 12mm iliyotengenezwa Kenya. Mathalani, ukienda dukani kutaka kununua nondo ya 6mm, utaulizwa unataka 6mm nene (imetengenezwa Kenya) au nyembamba (imetengenezwa Tanzania). Unajiuliza, hivi
Huo ndio ukweli...tena kama sasa Wafanyakazi Wote Serikalini ni kama wamefunguliwa kutoka jela, kila mtu anawaza kupiga kufidia miaka mitano ya Jiwe....semina, makongamano, rushwa kama zote.ukitafakari mambo kwa kina sana unaweza kufikia hitimisho kwamba HATUNA serikakti!.
tuna kagenge fulani tu kanajiita watawala/viongozi ambako bahati mbaya sana kamehodhi kila kitu kuhusu maisha yetu wananchi.
Waluoua general tyre Mungu anawaonaWazo zuri Mimi naona kuimarisha ya kwetu ni vizuri zaidi kwasababu bidha nyingi zinagusa maisha yetu,mfano simu nyingi ni feki na vipuri vyake
Hiyo chanjo iko Soko gani? Kariakoo au machinga complex?Achana na hayo, kuna CHANJO eti tume ya wataalamu wa bongo wamesema ni salama, sijui wameitest kwenye maabara gani, mimi huwa nawaangalia halafu nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Unamlaumu victim na kuwaacha waliopewa kazi ya kuthibiti ubora na wanalipwa kwa kodi yako. Huku ni kutokuwajibika.Uchumi bora utokomeza bidhaa duni
Mtu akiwa na uchumi mzuri atanunua bidhaa bora
umaskini ndio zao la bidhaa duni Mchina anakutengezea kutokana na bei yako
mfano bila Mchina kuwepo hata simu za mkononi hapa 80% tusingekua nazo
tbs inapaswa uwe wewe mwenyewe mkuu si ajabu wewe ndio mnunuzi wa feki
Naunga mkono hoja
Ongeza hapo pia ni wala rushwa wakubwa wengi wao huzibwa midomo kwa kupewa fungu ndio maana unaona bidhaa feki zimejaa sana huku mtaani.Nina uhakika TBS ina vifaa bora sana na hata wafanyakazi wake ni well trained and qualified, tatizo la nchi yetu ni commitments kwa kazi, wafanyakazi wengi wa serikalini kwenye issues za ubunifu na uwajibikaji is almost 0 kabisa. Mifano ni kama hiyo ulioitoa ambayo nakubaliana na wewe 100%
tunapenda sana vitu vya chini, vilivyopangawa chiniUchumi bora utokomeza bidhaa duni
Mtu akiwa na uchumi mzuri atanunua bidhaa bora
umaskini ndio zao la bidhaa duni Mchina anakutengezea kutokana na bei yako
mfano bila Mchina kuwepo hata simu za mkononi hapa 80% tusingekua nazo
tbs inapaswa uwe wewe mwenyewe mkuu si ajabu wewe ndio mnunuzi wa feki
nachosema ni sahihi kabisa mkuu.juzi nimenunua suruali mpya dukani lkn baada ya kuivaa nikafua.Duhh maji yote yaligeuka kuwa meusi ni kama vile iliwekwa kwenye rangi na kutolewa.ni balaa tupu mpaka leo sina hamu ya kuivaa tena nahisi nikivua mara tatu basi rangi yote ya suruali itapotea.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yote tisa,
Kumi hujauziwa kadet nzuri ya kung'aa alafu ukiweka kwenye maji tu inageuka rangi, kama ilikuwa ya kijivu inakuwa nyeupe au njano
Na bahati mbaya sasa hivi, hata ukiwa na nia ya kupata bidhaa nzuri, hupati. Maduka karibu yote yamejaza hizo bidhaa zisizo na ubora toka China.Kuna jiran yangu anakiwanda kidogo cha kuchana mbao,, kila siku analia na mikanda ya mashine ya kichina,, kampuni la mikanda linaitwa MITSUBA yan mikanda kila baada ya siku mbili ananunua mikanda mingine. Mchina hana maana
Halafu taasisi hizi zimejaa wazee wa kaunda ama ndio tuseme nao wanahujumu nchi kwa kuzibwa midomo kwa kupokea rushwa.Hongera mleta mada kwa kuiibua hii mada upya, ipo humu imeletwa kama mara mbili na imejadiliwa sana, jambo la kubwa hapa ni kwamba hatuna serikali iliyopo kwa ajili ya watu badala yake iko kwa ajili "watawala". Ndio maana unaona vyombo ambavyo viko active ni vile vinavyowalinda watawala, matokeo yake wanakimbizana hadi na wachota katuni. Lakini vyombo vinavyogusa maslahi ya wananchi moja kwa moja ni either butu au havina meno kabisa.
Tatizo sio umaskini wa nchi, tatizo ni uwajibikaji wa waliopewa dhamana, kuna bidhaa zinazoingizwa hapa kwetu huwezi kuzilinganisha hata bidhaa zinazoingizwa pale kwa mzee Mseveni kwa ubora.
wahusika kama watakuelewa watatuokoa sana na taifa letu pengine litasonga mbelekuna kitu nitapenda kueleza.
kama tanzania itapenda kufika mbali kimaendeleo.
basi hiki chama naomba kiache kudili na vyama pinzani na mambo ambayo kuona inaogopa kutoka madarakani.
nimegusia tu.
ila wenzetu walicho tuzidi ni kwamba sisi TBS tumewapa kila kitu kushugulikia vitu vyote ndio maana ni tatizo.
TBS ilitakiwa kuwa mama wa idara kama TANROAD kwa tarura.
TBS ilitakiwa kuwa na idara ambazo zinanguvu na zina mikakati yake na taratibu zake bila kuingiliwa na kuwa na chata maalumu ya kutoa vibali.
mfano south africa wana TBS yao ila kuna idara ambayo ni maalumu na inanguvu kwa ajili ya kusimamia vifaa vya mawasiliano kwa ubora na kiafya View attachment 1963271
inaitwa ICASA.
lakini cha kushangaza hapa kwetu kila kitu TBS kutaka kubeba vyote.
kwa nini zisiwe idara uhuru kuanzia kama madawa na chakula tulivoweka uhuru TFDS ila japo na yenyewe kama imalala.
hizi ni moja za idara za vifaa ambazo hata kampuni utambua na azipeleki vifaa vyao nchi fulani au kutumika bila kupata kibali
View attachment 1963273
Hongera mleta mada kwa kuiibua hii mada upya, ipo humu imeletwa kama mara mbili na imejadiliwa sana, jambo la kubwa hapa ni kwamba hatuna serikali iliyopo kwa ajili ya watu badala yake iko kwa ajili "watawala". Ndio maana unaona vyombo ambavyo viko active ni vile vinavyowalinda watawala, matokeo yake wanakimbizana hadi na wachota katuni. Lakini vyombo vinavyogusa maslahi ya wananchi moja kwa moja ni either butu au havina meno kabisa.
Tatizo sio umaskini wa nchi, tatizo ni uwajibikaji wa waliopewa dhamana, kuna bidhaa zinazoingizwa hapa kwetu huwezi kuzilinganisha hata bidhaa zinazoingizwa pale kwa mzee Mseveni kwa ubora.
Kabisa mkuu, kimsingi tunakubaliana kwamba issue sio vifaa vya kazi au sifa za wafanyakazi, vyote hivyo vipo vizuri kabisa, tatizo ni WATU, tatizo ni sisi na wao yaaniOngeza hapo pia ni wala rushwa wakubwa wengi wao huzibwa midomo kwa kupewa fungu ndio maana unaona bidhaa feki zimejaa sana huku mtaani.