Uwezi kujua kilicho ndani ya moyo wa mtu.

bishontongo

JF-Expert Member
Nov 3, 2016
239
223
Mimi nikiwaga nawaza juu ya mapenzi uwa sielewimkabisa kuna hisia gani ndani yake. Kama wanavyo sema moyo wa mtu ni kama kichaka huwezi jua anakuwa anakuwazia nini,mfano mwanamke unatokewa na mwanaume lazima unakuwa na mashaka na kusita sita kwa kujiuliza hivi huyu ananipenda kweli, hivyo hivyo kuna anae kuja kwa kukupenda ila ukakuta mwanamke amedharau kume kamuumiza mwanaume na kuna anae kubali kumbe yule mwanaume wala hana mpango na mwanamke kubaki anaumia sasa hapo swali laja . mwanaume mkwwli utamjuaje namwanamke ili mwanaume akatulie kwa lengo kuwa katulia kwake hatajuaje ? Mhhh hii ni mtihani sana katika mahusiano lakini.
 
Mwandiko mbaya rudia vidudu bishoo tongo tongo... daah jina lenyewe Mmmmh

Ulikuwa na point ya maana lakini!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom