Uwepo Mdahalo wa Wagombea Arumeru

Naunga mkono hoja, maana kwenye kampeni hakunaga kuulizwa maswali.
Hakika majungu yanatumaliza watanzania na huwenda wengi wetu hatuhudhuri kampeni mbalimbali za uchaguzi. Hivi una uhakika na unachokisema kwamba kwenye kampeni hakuna Maswali?
 
Dalili za kushindwa hizo. Watanzania wameshagundua midahalo inakuwa ikiongozwa na wafuasi wa vyama fulani fulani kwa malengo ya kutoa upendelea fulani na ndiyo maana unakuta katika midahalo hiyo washiriki wengi wanakuwa wamevalia sare za vyama hivyo cha ajabu zaidi hata kiongozi wa mdahalo anakuwa naye yuko katika Gwanda.
Tukiacha hayo, mbona CDMA wanajisifu kuwa mgombea wao amezaliwa Arumeru na kukulia hapo sasa wanataka wananchi wamfahamu kuhusu nini? Acheni kutafuta ushindi wa mezani na Rose Kitwangi.

Nyie hamna wafuasi? Au fusso zimegoma? You can fill up the room if neccessary. Kama kweli ccm wanajiamini kwa nini wasikubali mdahalo? chicken!
 
Thubutu nani atasimama na JO, magamba wanajijua hawana say zaidi ya kutukana na kuhonga, mgombea wa ccm ataongea nini?
Hivi kuna mtu anatukana kama MBOWE kati ya wanansiasa wote, Huko Arumeru kuna mtu anatukana kama huyo darasa la saba wenu Vicent Nyerere?
 
Nyie hamna wafuasi? Au fusso zimegoma? You can fill up the room if neccessary. Kama kweli ccm wanajiamini kwa nini wasikubali mdahalo? chicken!
Mbinu chafu zikishagundulika unaachana nazo mkuu, midahao ni kwa maslahi ya Chadema. Kwani yule mwasisi wa midahao inayodhaminiwa na CDMA kaenda wapi? (ROSE MWAKITWANGI) mwambieni alianzishe mwende wenyewe kuuza sura wakati SIOI anamwaga sera kwa wananchi. Eti muda hautoshi kwa kambeni na wale wananchi wasifikiwa na media watawafahamu vipi huyo NASSARI kwenu kupitia mdahalo. Mnalalamika muda hautoshi sasa huu wa kuchezea kwenye midahalo utatoka wapi?
 
SIOI SOLOMON SUMARI

ELIMU

LLB (UK) Shahada ya sheria.
PGD Shahada ya rasilimali watu.
MBA shahada ya uzamili menejimenti ya fedha na mabenki.
ADVOCATE Wakili wa mahakama kuu na nyinginezo (Tz)

UZOEFU

BENKI ABC LTD - Mwanasheria.
CRDB PLC - Meneja mkuu idara ya sheria ( Tz )
STANBIC BANK LTD - Mkurugenzi idara ya sheria (Tz)
WST - Mjumbe wa bodi.
IMARA ATTORNEY - Mjumbe wa bodi.

NB
Kwa cv hiyo hapo juu kweli tuogope mdahalo ? Kama sio mnataka kumwaibisha nassari nini mnataka ?
 
Unanikumbusha jinsi JK alivyomkimbia Dr Slaa uchaguzi wa 2010.

Lakini akashinda tena kwa kishindo. Mdahalo ni Mbwembwe za kuuza sura huku viongozi wa midahalo wakionesha ushujaa wa kulinda posho walizoahidiwa na baadhi ya vyama kwa kuonesha upendeleo wa wazi wazi.
 
Sioi solomon sumary

ELIMU

LLB (UK) Shahada ya sheria.
PGD Shahada ya rasilimali watu.
MBA shahada ya uzamili menejimenti ya fedha na mabenki.
ADVOCATE Wakili wa mahakama kuu na nyinginezo (Tz)

UZOEFU

BENKI ABC LTD - Mwanasheria.
CRDB PLC - Meneja mkuu idara ya sheria ( Tz )
STANBIC BANK LTD - Mkurugenzi idara ya sheria (Tz)
WST - Mjumbe wa bodi.
IMARA ATTORNEY - Mjumbe wa bodi.

NB
Kwa cv hiyo hapo juu kweli tuogope mdahalo ? Kama sio mnataka kumwaibisha nassari nini mnataka ?
safi sana Mkuu ungewawekea na ya yule anajiita mfanyakazi wa shirika la FOUNDATION FOR TOMMORROW waone kama anazosifa za kusimama na SIOI kwenye mdahalo. issue si mdahalo, issue ni unasimama na nani kwenye mdahalo. Hata mimi siwezi kwenda kushiriki mdahalo ambao eti mtu anayemkaribisha mgombea kuongea ni NYERERE(Form four failure). Hivi kweli hii si kutaniana jamani, labda Vicent apigwe stop kwenye mdahalo huo.
 
Mbinu chafu zikishagundulika unaachana nazo mkuu, midahao ni kwa maslahi ya Chadema. Kwani yule mwasisi wa midahao inayodhaminiwa na CDMA kaenda wapi? (ROSE MWAKITWANGI) mwambieni alianzishe mwende wenyewe kuuza sura wakati SIOI anamwaga sera kwa wananchi. Eti muda hautoshi kwa kambeni na wale wananchi wasifikiwa na media watawafahamu vipi huyo NASSARI kwenu kupitia mdahalo. Mnalalamika muda hautoshi sasa huu wa kuchezea kwenye midahalo utatoka wapi?

Rose Mwakitwangi anaingiaje hapa? Au ni yale yale ya Wassira badala ya kumnadi mgombea wake anaongelea ya Dr Slaa?
 
Rose Mwakitwangi anaingiaje hapa? Au ni yale yale ya Wassira badala ya kumnadi mgombea wake anaongelea ya Dr Slaa?
Pole Dada ROSE kama na wewe uko online JF lakini ukweli si ndo huo? au viposho ulivyopewa vimekwisha unataka kulianzisha tena? Teh teh teh
 
Lakini akashinda tena kwa kishindo. Mdahalo ni Mbwembwe za kuuza sura huku viongozi wa midahalo wakionesha ushujaa wa kulinda posho walizoahidiwa na baadhi ya vyama kwa kuonesha upendeleo wa wazi wazi.

alishinda kwa asilimia 61. watu mil 19 walio jiandikisha alipigiwa kura na watu mil 5. kishindo kiko wapi kama si sifa za kijinga?
 
Haya ni kama mambo aliyoimba J More ingekuwa vipi? Ingekuwa vipi? Ingekuwa vipi? Ingekuwa vipi JF ikawa kama FB au kama Globalpublishers?

Ingekuwa vipi? Ingekuwa vipi?
Ingekuwa vipi JF ikawa mtandao wa CDM au wa CCM?

Ingekuwa vipi? Ingekuwa vipi?
 
SIOI SOLOMON SUMARI

ELIMU

LLB (UK) Shahada ya sheria.
PGD Shahada ya rasilimali watu.
MBA shahada ya uzamili menejimenti ya fedha na mabenki.
ADVOCATE Wakili wa mahakama kuu na nyinginezo (Tz)

UZOEFU

BENKI ABC LTD - Mwanasheria.
CRDB PLC - Meneja mkuu idara ya sheria ( Tz )
STANBIC BANK LTD - Mkurugenzi idara ya sheria (Tz)
WST - Mjumbe wa bodi.
IMARA ATTORNEY - Mjumbe wa bodi.

NB
Kwa cv hiyo hapo juu kweli tuogope mdahalo ? Kama sio mnataka kumwaibisha nassari nini mnataka ?

kama mna cv ya namna hiyo,mbona nyie ndo wa kwanza kukimbia mdahalo?sisi tunajua na tunauhakika uwezo wa kupambana na cdm kwa hoja ni o,mkubwa wako wa nchi analijua na ndio maana alimkimbia daktar 2010, hilo ww unashindwaje kuelewa?
 
Back
Top Bottom