Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Hakika majungu yanatumaliza watanzania na huwenda wengi wetu hatuhudhuri kampeni mbalimbali za uchaguzi. Hivi una uhakika na unachokisema kwamba kwenye kampeni hakuna Maswali?Naunga mkono hoja, maana kwenye kampeni hakunaga kuulizwa maswali.