Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,692
- 26,584
China ni kipenzi cha watawala Wa kiafrika kwa sababu huwa yeye haingilii maisha ya serikalu na wananchi wake.ni bora tukareview vizuri hiyo mikataba mara nyingi sana waingereza wako fair ukilinganisha na mataifa yaliyobaki kwenye European Eunion . na mtoa uzi nimuulize wachina ni lini waliwapiku uingereza uwekezaji Tanzania?
Yeye hata ukiamua kuwa unawachinja wananchi wako na kuwapika supu yeye huwa hayamhusu. Mkila rushwa shauri yenu, mkiiba hayamhusu. Lakini waxungu hutaka kuona ustaarabu unasitawi katika Jamii husika