Mkuu una uhakika na ulicho kiandika?NGOs sijui kama huwa zina mchango kimaendeleo maana nyingi zinaajiri vijana wazungukezunguke eti wanafanya utafiti ili wawapotezee muda wa kufikiria kuunda viwanda/mashine/applications na kutoa matokeo yanayohamasisha mletewe msaada, na msaada utakuta una masharti fulani.
Mkuu naomba univumilie na tutafakari kwa pamoja bila ugomvi. Ukiangalia kwenye hayo mazingira kipaumbele ni pikipiki na I-pads? Mimi narudi kulekule tu kwamba wanataka vijana wapoteze muda kwa kuweka mafuta kwenye pikipiki wazulule na watumie I-pad kupoteza muda kujifunza namna ya kuzitumia, wahangaike kununua vifurushi n.k Napendekeza kuwanunulia trekta la kijiji, kujenga mifumo ya umwagiliaji, kujenga maghala ya kuhifadhi nafaka, kujenga vyoo bora vya wanafunzi, kukarabati madarasa/madawati nk. Hizo bidhaa ulizotaja hazinufaishi umma moja kwa moja ila wananufaika watu binafsi halafu umma baadae.Mkuu una uhakika na ulicho kiandika?
Wana NGO yao moja inaitwa Equip T, acha kabisa wametumwa pikipiki kwa kila mratibu elimu kata, bado I pads kwa kila mwl mkuu mek, nk.
Hawa jamaa kwenye NGO zao huwa zinafanya vizuri Sana kimaendeleo.
Sema tu huwa wnakatishwa tamaa na hawa viongozi watu, serikalini.
wafanye yote hayo,nyie wenyewe mnafanya nin'gMkuu naomba univumilie na tutafakari kwa pamoja bila ugomvi. Ukiangalia kwenye hayo mazingira kipaumbele ni pikipiki na I-pads? Mimi narudi kulekule tu kwamba wanataka vijana wapoteze muda kwa kuweka mafuta kwenye pikipiki wazulule na watumie I-pad kupoteza muda kujifunza namna ya kuzitumia, wahangaike kununua vifurushi n.k Napendekeza kuwanunulia trekta la kijiji, kujenga mifumo ya umwagiliaji, kujenga maghala ya kuhifadhi nafaka, kujenga vyoo bora vya wanafunzi, kukarabati madarasa/madawati nk. Hizo bidhaa ulizotaja hazinufaishi umma moja kwa moja ila wananufaika watu binafsi halafu umma baadae.
Dah ila spidi anayokuja nayo JAMBO ni balaatumejipanga sana,MO,gsm,barhesa wamedhamilia kuporomosha maviwanda ya kila aina ndani ya miaka 3,
kwa kanda ya ziwa yupo JAMBO nae anakuja juu kwa speed ya nyati aliejeruhiwa
ni bora tukareview vizuri hiyo mikataba mara nyingi sana waingereza wako fair ukilinganisha na mataifa yaliyobaki kwenye European Eunion . na mtoa uzi nimuulize wachina ni lini waliwapiku uingereza uwekezaji Tanzania?
NGOs sijui kama huwa zina mchango kimaendeleo maana nyingi zinaajiri vijana wazungukezunguke eti wanafanya utafiti ili wawapotezee muda wa kufikiria kuunda viwanda/mashine/applications na kutoa matokeo yanayohamasisha mletewe msaada, na msaada utakuta una masharti fulani.
Hivi kweli China ni wawekezaji au ni wachafuzi wa mazingira tu? Mie nadhani serikali haijaisimamia vilivyo mwekezaji anayejiita mchina
Mkuu naomba univumilie na tutafakari kwa pamoja bila ugomvi. Ukiangalia kwenye hayo mazingira kipaumbele ni pikipiki na I-pads? Mimi narudi kulekule tu kwamba wanataka vijana wapoteze muda kwa kuweka mafuta kwenye pikipiki wazulule na watumie I-pad kupoteza muda kujifunza namna ya kuzitumia, wahangaike kununua vifurushi n.k Napendekeza kuwanunulia trekta la kijiji, kujenga mifumo ya umwagiliaji, kujenga maghala ya kuhifadhi nafaka, kujenga vyoo bora vya wanafunzi, kukarabati madarasa/madawati nk. Hizo bidhaa ulizotaja hazinufaishi umma moja kwa moja ila wananufaika watu binafsi halafu umma baadae.
Kaka hawa wenyewe kwao wameuza makampuni yote. Jina lao ni kubwa lakini uchumi wao unaendeshwa na wageni asilimia kubwa hivyo si ajabu ukaona wapo kimya. wanataka kubinafsisha hata huduma za afya sema tu kelele za baadhi ya wabunge na manung'uniko ya wananchi yamewafanya wasitishe. Ila zaidi soma hii taarifa hapaKwa muda mrefu, Uingereza ndiyo walikuwa kinara wa uwekezaji kutoka nje nchini Tanzania. Inaonyesha wapo low key sana kwenye uwekezaji wao hauna makeke kama wa waChina na Marekani, kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza uwekezaji wao upo katika sekta gani. Ilichukua muda mrefu mpaka China kuweza kuwapiku miaka michache iliyopita.
Natambua uwepo kwa mabenki ya Barclays na Standard Chartered ambao nao hawana hata muda mrefu Tanzania (huku nikisikia Barclays wapo kwenye mikakati ya kuondoka Afrika). Ningeomba mwongozo ni sekta zipi ambazo Uingereza wamewekeza Tanzania na ikiwezekana makampuni yanayohusika yatajwe.
Hawa ndo serikali ilipaswa ikae nao chini kwanza wapange pamoja ili akija mwekezaji awe na shea ya nusu kwa nusu na hawa jamaa, kama hawana mitaji serikali ni jukumu lake kuwa wekea dhamana kwenye mabenki ya nje ili wapewe mikopo. Like reli ya kati wale wachina wangekuwa na ubia na Mo au barhesa wa nusu kwa nusu ingekuwa poa sanatumejipanga sana,MO,gsm,barhesa wamedhamilia kuporomosha maviwanda ya kila aina ndani ya miaka 3,
kwa kanda ya ziwa yupo JAMBO nae anakuja juu kwa speed ya nyati aliejeruhiwa
South africa, (mkabulu)Sawa, naanza kupata mwanga. Yeyote anayeweza kuongezea? Hivi wawekezaji wa NMB wanatokea wapi?
Mkuu ungekuwa unafanya au una interest kwenye sector ya elimu ungejua umuhimu wa hivyo Vifaa tajwa hapo juu.Mkuu naomba univumilie na tutafakari kwa pamoja bila ugomvi. Ukiangalia kwenye hayo mazingira kipaumbele ni pikipiki na I-pads? Mimi narudi kulekule tu kwamba wanataka vijana wapoteze muda kwa kuweka mafuta kwenye pikipiki wazulule na watumie I-pad kupoteza muda kujifunza namna ya kuzitumia, wahangaike kununua vifurushi n.k Napendekeza kuwanunulia trekta la kijiji, kujenga mifumo ya umwagiliaji, kujenga maghala ya kuhifadhi nafaka, kujenga vyoo bora vya wanafunzi, kukarabati madarasa/madawati nk. Hizo bidhaa ulizotaja hazinufaishi umma moja kwa moja ila wananufaika watu binafsi halafu umma baadae.
Kaka hawa wenyewe kwao wameuza makampuni yote. Jina lao ni kubwa lakini uchumi wao unaendeshwa na wageni asilimia kubwa hivyo si ajabu ukaona wapo kimya. wanataka kubinafsisha hata huduma za afya sema tu kelele za baadhi ya wabunge na manung'uniko ya wananchi yamewafanya wasitishe. Ila zaidi soma hii taarifa hapa
UK Companies Investing in Tanzania Provide Positive Feedback - TanzaniaInvest
Hawa ndo serikali ilipaswa ikae nao chini kwanza wapange pamoja ili akija mwekezaji awe na shea ya nusu kwa nusu na hawa jamaa, kama hawana mitaji serikali ni jukumu lake kuwa wekea dhamana kwenye mabenki ya nje ili wapewe mikopo. Like reli ya kati wale wachina wangekuwa na ubia na Mo au barhesa wa nusu kwa nusu ingekuwa poa sana