jorochere95
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 294
- 152
Hongereni maana mtanyonya kweli kweli....!Sikua najua, Kumbe Singida kuna ziwa? Ziwa Singida? Aiseee...!!
Hongereni maana mtanyonya kweli kweli....!Sikua najua, Kumbe Singida kuna ziwa? Ziwa Singida? Aiseee...!!
Labda nyingine zipo underground.Mkuu hizo ghorofa tisa singida sijaziona ,umeleta ka-uongo hapa
Ukitukanwa uanze kulialia hapa,hizo 9 au 3?Vijana wazawa wa Singida wameanza kurejea Nyumbani na kufanya uwekezaji mkubwa hasa Ujenzi wa nyumba za kuishi na hotel za kibiashara
REGENCY HOTEL AND RESORT ni Hotel ya kisasa kabisa iliyozinduliwa hivi karibuni na ni moja ya kazi nzuri iliyofanywa na mzalendo na mzawa wa Singida ndugu Raymond Nkingo ambae alienda kutafuta pesa nje ya mkoa wa Singida na Sasa amerudi kuwekeza Nyumbani kwa kujenga hotel ya kisasa kabisa yenye gorofa 9 , Regency Hotel ipo ufukweni mwa Ziwa Singida ikiwa na mandhari mazuri Sana
Uwekezaji wa hotel ni kichocheo kikubwa cha maendeleo mkoani Singida kwa kuwa itasaidia kutoa ajira kwa Vijana, kuvutia wageni na wadau kuwekeza mkoani Singida
Kwa miongo kadhaa wazawa wa Singida wamekuwa na msukumo mdogo kuwekeza Nyumbani, wengi waliofanikiwa kusoma na kupata fedha wamewekeza mikoa ya Arusha na Dar
Tunawakaribisha wadau wote kuja kuwekeza Singida kwani ni centre nzuri ya kibiashara hasa kuelekea mpango wa serikali kuhamia Dodoma
Singida ya jana, sio Singida ya Leo
#Transforming_Singida
View attachment 417107
Kondoa ninyi biashara ya ndege tuu hiyo inawatosheni aisee msijaribu zingine ni ngumu sanaa!!!Ni zamu yetu sisi warangi nasi kwenda kuwekeza Kondoa, makao makuu ya nchi yamefika nyumbani, tuende tukaijenge Kondoa yetu sasa.
Hata kama sijui kuhesabu,hilo jengo halina ghorofa tisa, tusidanganyaneVijana wazawa wa Singida wameanza kurejea Nyumbani na kufanya uwekezaji mkubwa hasa Ujenzi wa nyumba za kuishi na hotel za kibiashara
REGENCY HOTEL AND RESORT ni Hotel ya kisasa kabisa iliyozinduliwa hivi karibuni na ni moja ya kazi nzuri iliyofanywa na mzalendo na mzawa wa Singida ndugu Raymond Nkingo ambae alienda kutafuta pesa nje ya mkoa wa Singida na Sasa amerudi kuwekeza Nyumbani kwa kujenga hotel ya kisasa kabisa yenye gorofa 9 , Regency Hotel ipo ufukweni mwa Ziwa Singida ikiwa na mandhari mazuri Sana
Uwekezaji wa hotel ni kichocheo kikubwa cha maendeleo mkoani Singida kwa kuwa itasaidia kutoa ajira kwa Vijana, kuvutia wageni na wadau kuwekeza mkoani Singida
Kwa miongo kadhaa wazawa wa Singida wamekuwa na msukumo mdogo kuwekeza Nyumbani, wengi waliofanikiwa kusoma na kupata fedha wamewekeza mikoa ya Arusha na Dar
Tunawakaribisha wadau wote kuja kuwekeza Singida kwani ni centre nzuri ya kibiashara hasa kuelekea mpango wa serikali kuhamia Dodoma
Singida ya jana, sio Singida ya Leo
#Transforming_Singida
View attachment 417107
AlizetiMbona huo uongo ghorofa tisa zinafika hizo , hii ghorofa tisa kwa biashara gani ya kuwalaza watu hapo Singida