Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,797
- 12,239
Leo jioni katika kipindi cha dira ya dunia BBC, Prof. Tibaijuka - waziri wa ardhi na maendeleo ya makati atashiriki katika mjadala endapo watanzania wananufaika na wawekezaji wa nje katika ardhi yetu au wananchi wetu wanaporwa ardhi yao kwa manufaa ya mafisadi.
Mjadala huu utakuwa muhimu sana na hasa ukizingatia jinsi migogoro ya ardhi inavyoibuka siku hadi siku nchini.
WanaJF tujadili swala hili ili ifikapo jioni Prof. ajue nini maoni ya watanzania.
Mjadala huu utakuwa muhimu sana na hasa ukizingatia jinsi migogoro ya ardhi inavyoibuka siku hadi siku nchini.
WanaJF tujadili swala hili ili ifikapo jioni Prof. ajue nini maoni ya watanzania.