cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
kwa kweli mim sielewi kwa nini watz tule vitu vya kwenye makopo,hivi hadi mboga mboga kweli tule za kuvundikwa wkt kila kitu kipo fresh.
naombeni mnisamehe nikisema sisi watanzania ni malimbukeni sana,ulaya ili ule vitu fresh ambavyo havijapuliziwa madawa inabidi ugharamie zaidi wkt sisi vitu hivyo vimezagaa ktk magenge yetu.
Kuna siku niliwasindikiza rafiki zangu pale shoprite ya kariakoo nikaona wana cheese zina ukungu kabisa na baadhi ya viu vingine vingi tu vimeoza lkn viko ktk shelves vinauzwa.
KULA MAVITU YA MAKOPO YALIYOJAZWA MADAWA SIO UMATAWI YA JUU NI USHAMBA,ULIMBUKENI NA KUTAFAHAMU MADHARA YA KULA VYAKULA NA MATUNDA yaliyowekewa dawa ili yadumu kwa muda mrefu.
naombeni mnisamehe nikisema sisi watanzania ni malimbukeni sana,ulaya ili ule vitu fresh ambavyo havijapuliziwa madawa inabidi ugharamie zaidi wkt sisi vitu hivyo vimezagaa ktk magenge yetu.
Kuna siku niliwasindikiza rafiki zangu pale shoprite ya kariakoo nikaona wana cheese zina ukungu kabisa na baadhi ya viu vingine vingi tu vimeoza lkn viko ktk shelves vinauzwa.
KULA MAVITU YA MAKOPO YALIYOJAZWA MADAWA SIO UMATAWI YA JUU NI USHAMBA,ULIMBUKENI NA KUTAFAHAMU MADHARA YA KULA VYAKULA NA MATUNDA yaliyowekewa dawa ili yadumu kwa muda mrefu.