Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Kwa wale waliokuwa wanamfahamu Mhe. Juliana Shonza watakubaliana nami kuwa kumbe uwaziri ni dili nzuri hasa katika kujenga mwili ili unone.
Shonza hakika sasa amejazia kiasi kuwa hata yule mwenzetu mpenda rangi ya chungwa (mr Njaa)lakini akawa ana sita kwa vile hakuna bambata sasa atakuwa tayari kutia timu na kumwaga mashairi kidogo.
cc.@Pascal Mayalla
Shonza hakika sasa amejazia kiasi kuwa hata yule mwenzetu mpenda rangi ya chungwa (mr Njaa)lakini akawa ana sita kwa vile hakuna bambata sasa atakuwa tayari kutia timu na kumwaga mashairi kidogo.
cc.@Pascal Mayalla