shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,431
Duh kweli hii taarifa mpya basi kunauuusiano mkubwa na namna anavyofanya presentation yake, kuwa mwalimu plus mwanasheria tena msomi hapo lazima umwelewe tu hata kama wewe ni mbumbumbuMwamba hakufanya vizuri form 6, pamoja na kua na historia ya kufukuzwa shule na kwenda kusoma shule zingine, kama ulikua hauna taarifa alikuaga ni mwalimu wa chemistry pata taarifa mkuu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app