kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Dar es Salaam.
Hatima ya uwanja wa klabu ya Yanga, Kaunda sasa ipo mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa aliliambia gazeti hili jana kuwa hakuna mamlaka yoyote si manispaa, Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wala Wizara ya Ardhi ambayo ipo tayari kubeba msalaba kwa kitu ambacho kinajulikana wazi hakiwezekani.
"Mwenye mamlaka ya kubadili matumizi ya ardhi, kuiruhusu Yanga ipewe eneo hilo ni Rais pekee, akitoa agizo, basi sisi tutatekeleza hatuna jinsi, lakini si mamlaka nyingine yoyote, lile eneo haliwezekani kujengwa bila kuharibu miundombinu, bila ya kuathiri watu wengine.
Mwananchi
Hatima ya uwanja wa klabu ya Yanga, Kaunda sasa ipo mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa aliliambia gazeti hili jana kuwa hakuna mamlaka yoyote si manispaa, Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wala Wizara ya Ardhi ambayo ipo tayari kubeba msalaba kwa kitu ambacho kinajulikana wazi hakiwezekani.
"Mwenye mamlaka ya kubadili matumizi ya ardhi, kuiruhusu Yanga ipewe eneo hilo ni Rais pekee, akitoa agizo, basi sisi tutatekeleza hatuna jinsi, lakini si mamlaka nyingine yoyote, lile eneo haliwezekani kujengwa bila kuharibu miundombinu, bila ya kuathiri watu wengine.
Mwananchi