Uwanja sawa, lakini Bil. 2 hapana!

Naikumbuka vyema post yako, halafu wenzio wakakushikia kama mwewe. Ndio asili ya mashabiki wa kibongo usiwaguse viongozi au usiseme ukweli utaambiwa wewe sio mwana yanga mwenzetu au wewe sio mwana simba mwenzetu.
Hakika, kwenye ukweli tuseme.
 
Hongera kwa andiko zuri Sana....!!!!
Bahati mbaya au nzuri hauja eleza kuhusu muundo wa klabu ya Simba na namna ambavyo watapata hasara kupitia Mo kutoa Bilioni 2.
Simba sio Mali ya Wana Chama peke yao, bali ni kampuni.
Ili kujadili kuhusu klabu ya Simba ni lazima kufahamu mambo yafuatayo.
1.Simba Sport Club
2.Simba Holding company Limited
3.Mo Simba Company Limited
4.Simba Sports Club Company Limited

Ukifatilia Kuna Simba nne ambazo zipo kwenye miundo Tofauti Tofauti.
Simba ya kwanza...SIMBA SPORTS CLUB mwenyekiti ni Mangungu....!!
Hii ni club ya Simba ambayo ndio imeunda kampuni yao brella ambayo inaitwa SIMBA HOLDING COMPANY yenye hisa asilimia 51.
Simba nyingine ni MO SIMBA COMPANY LIMITED hii ni kampuni ya Mo ambayo imesajiliwa Brella ina asilimia 49.
Kampuni za SIMBA HOLDING COMPANY na MO SIMBA COMPANY LIMITED zimeungana na kutengeneza kampuni Moja ambayo inaitwa SIMBA SPORTS CLUB COMPANY LIMITED.
Kampuni hii ndio Ina endesha klabu ya Simba Kwa kupitia Bodi ya wakurugenzi ambayo imeajili C.E.O ambae ana endesha klabu katika shughuli za Kila siku kwa niaba yao.

Kimsingi Mali za Simba na Madeni ya Simba ni ya Mo Dewji pamoja na Wana Chama wa Simba, maana na yeye ni sehemu ya umiliki kupitia kampuni yake ya Mo Simba Company Limited.
Kwaiyo basi maendeleo,Mafanikio au hasara zina mgusa Mo Moja kwa Moja kwa maana ni muwekezaji ndnai ya Simba.

Ni rudi kwenye hoja yako ya Mo kutoa Bilioni 2 kwneye ujenzi kati ya kiasi Cha Bilioni 30 zinazo hitajika.
Jambo Moja la msingi kutambua ni kwamba hivi ndani ya klabu ya Simba Kuna mwana Chama ambae ameweza kuchangia kiasi Cha kuanzia Bilioni 1 na kupanda juu...?
Wewe imechukua jumla ya michango inayo hitajika nakuona Mo katoa pesa kidogo kuliko Wana Chama.
Bila kujua kumbe Wana Chama Hawa Wana changia kuanzia buku au elfu tano,elfu hamsini, laki, milioni na kuendelea.
Lakini Mo yeye mtu mmoja katoa Bilioni 2 lakini Wana Chama wao kwa umoja wao wana toa bilioni 28.
Hapa kimantiki Mo katoa nyingi kama mtu mmoja kulinganisha na mtu mmoja mmoja kwenye mchango wake.
Kwaiyo kama tugesema tutafute msimamizi wa mradi kwa kuangalia mchango wake yeye ndio ana stahili kuwa mwenyekiti wa mradi kwa pesa yake kuwa nyingi kuliko mwana Chama yoyote.
 
Huo uwanja wewe utakusaidia kitu gani ukishajengwa?
kajengeni wenu kule kigamboni ndio mtajua faida za timu kuwa na kiwanja chake

58CD25EC-3F65-4AAB-9BB3-2EC31CCC1530.png
 
Hongera kwa andiko zuri Sana....!!!!
Bahati mbaya au nzuri hauja eleza kuhusu muundo wa klabu ya Simba na namna ambavyo watapata hasara kupitia Mo kutoa Bilioni 2.
Simba sio Mali ya Wana Chama peke yao, bali ni kampuni.
Ili kujadili kuhusu klabu ya Simba ni lazima kufahamu mambo yafuatayo.
1.Simba Sport Club
2.Simba Holding company Limited
3.Mo Simba Company Limited
4.Simba Sports Club Company Limited

Ukifatilia Kuna Simba nne ambazo zipo kwenye miundo Tofauti Tofauti.
Simba ya kwanza...SIMBA SPORTS CLUB mwenyekiti ni Mangungu....!!
Hii ni club ya Simba ambayo ndio imeunda kampuni yao brella ambayo inaitwa SIMBA HOLDING COMPANY yenye hisa asilimia 51.
Simba nyingine ni MO SIMBA COMPANY LIMITED hii ni kampuni ya Mo ambayo imesajiliwa Brella ina asilimia 49.
Kampuni za SIMBA HOLDING COMPANY na MO SIMBA COMPANY LIMITED zimeungana na kutengeneza kampuni Moja ambayo inaitwa SIMBA SPORTS CLUB COMPANY LIMITED.
Kampuni hii ndio Ina endesha klabu ya Simba Kwa kupitia Bodi ya wakurugenzi ambayo imeajili C.E.O ambae ana endesha klabu katika shughuli za Kila siku kwa niaba yao.

Kimsingi Mali za Simba na Madeni ya Simba ni ya Mo Dewji pamoja na Wana Chama wa Simba, maana na yeye ni sehemu ya umiliki kupitia kampuni yake ya Mo Simba Company Limited.
Kwaiyo basi maendeleo,Mafanikio au hasara zina mgusa Mo Moja kwa Moja kwa maana ni muwekezaji ndnai ya Simba.

Ni rudi kwenye hoja yako ya Mo kutoa Bilioni 2 kwneye ujenzi kati ya kiasi Cha Bilioni 30 zinazo hitajika.
Jambo Moja la msingi kutambua ni kwamba hivi ndani ya klabu ya Simba Kuna mwana Chama ambae ameweza kuchangia kiasi Cha kuanzia Bilioni 1 na kupanda juu...?
Wewe imechukua jumla ya michango inayo hitajika nakuona Mo katoa pesa kidogo kuliko Wana Chama.
Bila kujua kumbe Wana Chama Hawa Wana changia kuanzia buku au elfu tano,elfu hamsini, laki, milioni na kuendelea.
Lakini Mo yeye mtu mmoja katoa Bilioni 2 lakini Wana Chama wao kwa umoja wao wana toa bilioni 28.
Hapa kimantiki Mo katoa nyingi kama mtu mmoja kulinganisha na mtu mmoja mmoja kwenye mchango wake.
Kwaiyo kama tugesema tutafute msimamizi wa mradi kwa kuangalia mchango wake yeye ndio ana stahili kuwa mwenyekiti wa mradi kwa pesa yake kuwa nyingi kuliko mwana Chama yoyote.
Bado hujajibu hoja bro naona umezunguka zunguka tu
 
Ya simba waachie simbaa ,mo cc tumempa timu achaa atupelekee atavyo cha msingi makombe na uwanjaa ujengwe maisha yaendelee mambo ya bla blaa n kawaida yetu watz kupinga kilaa kt nakuibua vioja vya kuchunguzaa chunguza ingali wanachama wenyewe mo akiwaachia timu miezi mitatu tu mnaanza kudaiwa mishahara ,mara bonasi ,mara mkude kagoma anadai ,embuu mwachen mo afanye yake pale cmbaa nazan MO C TAPELI N MWEKEZAJI SAHIHI PALE CMBA ,KM N RAHISI HVYO NYINYI YANGA FANYENI NANYI
 
Labda swali haujalielewa. Je wewe unapata faida gani na uwanja?
Swali halina mantiki,ishu ni uwanja wa mpira sasa kama hujua kuwa mpira unachezewa uwanjani utakuwa hujua hata mada inayojadiliwa inahusu nini. Ingekuwa tunajadili muziki wa bongo fleva au taarabu labda swali lingeeleweka.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Hongera kwa andiko zuri Sana....!!!!
Bahati mbaya au nzuri hauja eleza kuhusu muundo wa klabu ya Simba na namna ambavyo watapata hasara kupitia Mo kutoa Bilioni 2.
Simba sio Mali ya Wana Chama peke yao, bali ni kampuni.
Ili kujadili kuhusu klabu ya Simba ni lazima kufahamu mambo yafuatayo.
1.Simba Sport Club
2.Simba Holding company Limited
3.Mo Simba Company Limited
4.Simba Sports Club Company Limited

Ukifatilia Kuna Simba nne ambazo zipo kwenye miundo Tofauti Tofauti.
Simba ya kwanza...SIMBA SPORTS CLUB mwenyekiti ni Mangungu....!!
Hii ni club ya Simba ambayo ndio imeunda kampuni yao brella ambayo inaitwa SIMBA HOLDING COMPANY yenye hisa asilimia 51.
Simba nyingine ni MO SIMBA COMPANY LIMITED hii ni kampuni ya Mo ambayo imesajiliwa Brella ina asilimia 49.
Kampuni za SIMBA HOLDING COMPANY na MO SIMBA COMPANY LIMITED zimeungana na kutengeneza kampuni Moja ambayo inaitwa SIMBA SPORTS CLUB COMPANY LIMITED.
Kampuni hii ndio Ina endesha klabu ya Simba Kwa kupitia Bodi ya wakurugenzi ambayo imeajili C.E.O ambae ana endesha klabu katika shughuli za Kila siku kwa niaba yao.

Kimsingi Mali za Simba na Madeni ya Simba ni ya Mo Dewji pamoja na Wana Chama wa Simba, maana na yeye ni sehemu ya umiliki kupitia kampuni yake ya Mo Simba Company Limited.
Kwaiyo basi maendeleo,Mafanikio au hasara zina mgusa Mo Moja kwa Moja kwa maana ni muwekezaji ndnai ya Simba.

Ni rudi kwenye hoja yako ya Mo kutoa Bilioni 2 kwneye ujenzi kati ya kiasi Cha Bilioni 30 zinazo hitajika.
Jambo Moja la msingi kutambua ni kwamba hivi ndani ya klabu ya Simba Kuna mwana Chama ambae ameweza kuchangia kiasi Cha kuanzia Bilioni 1 na kupanda juu...?
Wewe imechukua jumla ya michango inayo hitajika nakuona Mo katoa pesa kidogo kuliko Wana Chama.
Bila kujua kumbe Wana Chama Hawa Wana changia kuanzia buku au elfu tano,elfu hamsini, laki, milioni na kuendelea.
Lakini Mo yeye mtu mmoja katoa Bilioni 2 lakini Wana Chama wao kwa umoja wao wana toa bilioni 28.
Hapa kimantiki Mo katoa nyingi kama mtu mmoja kulinganisha na mtu mmoja mmoja kwenye mchango wake.
Kwaiyo kama tugesema tutafute msimamizi wa mradi kwa kuangalia mchango wake yeye ndio ana stahili kuwa mwenyekiti wa mradi kwa pesa yake kuwa nyingi kuliko mwana Chama yoyote.
Haya, uwanja ukishakamilika unasajiliwa kwa Jina la nani?
 
Una point mtaani ,lakin elewa kabisa wanasimba wanalijua hili kwa upana zaidi na ilipaswa iwe hivyo kwa pande zote mbili .lakini elewa kitu kimoja au viwili,

Huu uwanja umekuja na kimbunga na hasira za Simba kuonekana unaonewa so wanachama na wapenz wa Simba wao kwa moyo wao wameamua kuchanga bila kufuata hiyo kanuni zaidi wao wanachotaka uwanja uonekane pale bunju kwa jina la Simba sport club .

Yes Ni ukwel kuwa Mo hapa atakua amekula kitonga Cha bure kupitia wanachama na wapenz wa mpira ,lakin Wana Simba Hilo haliwaumiz kichwa kabisa Zaid wanataka ,uwanja ,uwanja ,uwanja,uwanja ,faida za uwanja sijui umilik watajuana wenyewe huko kwenye uongoz wao ,Ila kikubwa uwanja uonekane ,màana najua Waz Mo hata alete uhuni gani hawez kujimirikisha uwanja au kutaka kuuza Kama share pale ambapo atakua amechoka kufanya biashara na Simba ,nasema Hilo haliwezekanik Zaid damu inaweza kumwagika ,Ila faida za uwanja acha ale hata miaka Mia Ila sio kutaka kuuza kisa share zake Hilo halitakuwepo milele yote.
Akichoka kuiendesha Simba ataondoka lakin uwanja atauacha kwa jina la Simba no matter what màana hata nchi inajua huo uwanja Ni nguvu za wanachama na wapenz wa Simba.
 
Kumbuka Mo ana nafasi (capacity) mbili, kwanza ni mwanachama/shabiki wa simba na pili ni muwekezaji.

Swali la msingi la kujiuliza ni je Mo kachangia 2b kama nani?

Kama amechangia hiyo hela kama mwekezaji basi una hoja ya msingi sana ila inabidi utupe authority ya kudhibitisha kuwa kachangia hiyo hela kama mwekezaji.

Kama kachangia hiyo hela kama mwanachama/shabiki wa simba basi sidhani kama kuna shida na angeweza hata kuchangia pungufu ya hiyo.

Kwakua club ya simba inamilikiwa na wanachama pamoja na muwekezaji (Mo), basi tusubiri tuone kati ya hizo 30b zinazohitajika, wanachama watachangia kiasi gani (na nadhani hata 2b aliyochangia Mo itakua sehemu ya mchango wa wanachama) na muwekezaji atachangia kiasi gani. Tukishajua hilo basi utakua wakati sahihi wa kujadili hoja zako. Kwa sasa ni mapema mno. Tuwe na subira.
 
Kumbuka Mo ana nafasi (capacity) mbili, kwanza ni mwanachama/shabiki wa simba na pili ni muwekezaji.

Swali la msingi la kujiuliza ni je Mo kachangia 2b kama nani?

Kama amechangia hiyo hela kama mwekezaji basi una hoja ya msingi sana ila inabidi utupe authority ya kudhibitisha kuwa kachangia hiyo hela kama mwekezaji.

Kama kachangia hiyo hela kama mwanachama/shabiki wa simba basi sidhani kama kuna shida na angeweza hata kuchangia pungufu ya hiyo.

Kwakua club ya simba inamilikiwa na wanachama pamoja na muwekezaji (Mo), basi tusubiri tuone kati ya hizo 30b zinazohitajika, wanachama watachangia kiasi gani (na nadhani hata 2b aliyochangia Mo itakua sehemu ya mchango wa wanachama) na muwekezaji atachangia kiasi gani. Tukishajua hilo basi utakua wakati sahihi wa kujadili hoja zako. Kwa sasa ni mapema mno. Tuwe na subira.
Let's say amechanga kama mwanachama je ukikamilika na kuingia kwenye assets za club umiriki uta kua aje?
 
Wakifanikiwa kutekeleza lengo la bil 30 jamaa kwenye ile bil 20 atakuwa karudisha zaidi ya bilion 15 .Kanjibah nimekunyooshea mikono
 
Kuna kitu hapa . Ngoja niendelee kutumia akili yangu ipasavyo kabla sijafikia hitimisho . Asante mkuu . Mimi ni Simba damu lakini kuna HOJA kwenye bandiko lako . Credit kwako .
 
Back
Top Bottom