hivi hawa mawaziri wa Vasco Dagama wanajua maana ya uwajibikaji? maana kwa wenzetu walioendelea kashfa ndogo tu hata kama waziri hakuhusika moja kwa moja anajiuzuru hapa kwetu mpaka wananchi waandamane ?
hivi hawa mawaziri wa Vasco Dagama wanajua maana ya uwajibikaji? maana kwa wenzetu walioendelea kashfa ndogo tu hata kama waziri hakuhusika moja kwa moja anajiuzuru hapa kwetu mpaka wananchi waandamane ?
hivi hawa mawaziri wa Vasco Dagama wanajua maana ya uwajibikaji? maana kwa wenzetu walioendelea kashfa ndogo tu hata kama waziri hakuhusika moja kwa moja anajiuzuru hapa kwetu mpaka wananchi waandamane ?
Kitendo cha kutotoa tamko lolote juu ya mawaziri nane waliotakiwa kujiuzuru kimewaudhi wabunge na mkakati uliopo sasa ni kwamba katika Bunge lijalo la bajeti, ikiwa hao mawaziri bado watakuwapo madarakani basi wajue wazi kwamba bajeti za wizara zao hazitapitishwa. Wabunge wanasema hawawezi kupitisha bajeti ya wizara ikasimamiwe na waziri mtuhumiwa.
Nadhani ni mkakati mzuri pia. Sijui wabunge wakigoma kabisa kupitisha bajeti ya wizara nini kinatokea. Bunge lote linavunjwa?
Original source: Mwananchi
1.mwanainchi ya jumapili iliandika MAIGE alivyompatia dola 3000 girl mhudumu wa ndege
hata yule girl akasita ila jamaa akaomba girl azipokee na baadae ampigie
2.Ni raha kutembea na simu tatu, computa mbili, bunduki mbili na wake za watu
"Huu ni upepo tu, utapita"- JK
Kitendo cha kutotoa tamko lolote juu ya mawaziri nane waliotakiwa kujiuzuru kimewaudhi wabunge na mkakati uliopo sasa ni kwamba katika Bunge lijalo la bajeti, ikiwa hao mawaziri bado watakuwapo madarakani basi wajue wazi kwamba bajeti za wizara zao hazitapitishwa. Wabunge wanasema hawawezi kupitisha bajeti ya wizara ikasimamiwe na waziri mtuhumiwa. Nadhani ni mkakati mzuri pia. Sijui wabunge wakigoma kabisa kupitisha bajeti ya wizara nini kinatokea. Bunge lote linavunjwa? Original source: Mwananchi