lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,424
- 25,655
Lile dude ni dude la dude kuu.Aisee..! Mzaha mzaha utumbua usaha!
Hongera Albert, Lile dude lililofoji vyeti halafu likavamia studio za televisheni linapaswa kufuata nyendo zako.
Lile dude ni dude la dude kuu.Aisee..! Mzaha mzaha utumbua usaha!
Hongera Albert, Lile dude lililofoji vyeti halafu likavamia studio za televisheni linapaswa kufuata nyendo zako.
Asante Kwa ushauriPole sana Alberto,jamani wanaume muwe mnachagua pa kuchepukia jamani.
Ina maana video isingevuja angeendelea kuwa mshauri mkuu wa chama. Hii INA maana viongozi wa kisiasa wanafanya maigizo, nawahurumia sana wanaowaamini hawa watu kuwa watawaletea maendeleo,
Pole Albert, wanaume karibia wote tuko kama wewe sema hatujakamatwa tu na hatuna umaarufu.
Bora wewe umeongea ukwl basi hapo watu wanarud nyuma kushangaa kana kwamba hawajawahi kunanihiiiii looo
Sioi wanawake...- Who cares wewe mjinga nipo bongo nakula batazzz kufwa mke kamuoe wewe mburulazzz hahahahahahha
le Mutuz
Alishika mbunye ya malaya wakati anamke wa ndoa.Hivi kafanyajaje huyu?
Ma nigga from another mother....
What up man....?
Loud & Clearhii ni ajali kazini wanaume wote hivi ni vitu vya kawaida sana sema alikosea kujirekodi
Unauliza jibu.ivi alipima kabisa ?
le King of all social medias!- HAHAHAHAH watsap what is up mamen!
le Mutuz
ahaaaaa le mutuz bwana nakuaminia hebu rushia ka video kamoja ukiwa kwa bed ! maana nasikia unaishiaga kupiga picha tu huko down hakuna cha kibamia wala muhogo- HAHAHhahahahahha sasa mkikamatwa msilie lie hahahahahha mimi ninaishi I dont care mke wala nini kazi kazi bata bata hahahahaha na le super mtindizi chezeya wewe hahahaha!
- hahahaha eti Super Mtindizz ni ushamba? hahahahahaha wafwa hahahahaha
le Mutuz
Wahuni walitegaNani alirekodi hiyo video
Kama maigizo hiviii
Yule ni Mke wake Dr Lilian Mbowe walikuwa kwenye sherehe ya kutimiza miaka kadhaa ya kuwa kwenye ndoa yaoNimesoma humu jukwaani kuwa Mwanasheria na mshauri Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo ndugu Albert Msando amejiuzulu nafasi yake ndani ya chama chake kama sharti la kuwajibika kutokana na kusambaa kwa kipande cha video akifanya ufuska na Gigy Money.
Hili ni jambo jema kukubali makosa na kukisafisha chama chake, ni utamaduni mzuri unaoonyesha kuwa mtu anajutia aliyoyafanya na ukizingatia pia aliomba msamaha kwa jamii ya Watanzania.
Kitendo hiki cha Msando kimenikumbusha wanasiasa kadhaa waliofanya fraud,aidha moja kwa moja au kutuhumiwa kuhusika na jambo flani ambalo sio tu halileti picha nzuri kwa jamii bali ni vibaya kwa kiongozi mkubwa ktk jamii kuhusishwa nalo.
Ni juzi tu ilisambaa picha ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe akiwa ananyonyana ndimi na mwanadada mmoja hadharani huku baadhi ya watu wakisikika wakitamka maneno ya Peopless Power ambayo ni slogan ya chama chao, Aidha Ni Mbowe huyuhyu amehusishwa na biashara ya dawa za kulevya pamoja na kuhujumu Shirika moja la umma kwa kutolipa kodi ya pango.
Mambo haya yote yanazua maswali mengi ambayo sio tu kwamba ni fedheha kwa chama hicho lkn pia ni fedheha kwa wanachama na wapiga kura waliomwamini. Kwa matendo haya Mbowe angewajibika ingemjengea heshma kubwa sana mbele ya jamii.
Mwingine aliyekumbwa na Makandokando ni huyu kijana Machachari ambaye ni Mkuu wa Mkoa DSM Paul Makonda, huyu kahusishwa na mengi machafu(Siyataji maana yanafahamika) kama kijana aliye na safari ndefu kisiasa alitakiwa kuwajibika ili kujisafisha, tuhuma dhidi yake ni nzito kiasi kwamba kuendelea kukaa ktk kiti hicho kinatafsirika kuwa pengine anahusika na tuhuma hizo hivyo anatumia nafasi hiyo kujikingia kifua, ni vyema angewajibika kuonyesha uungwana wake kama kijana na hili lingemsaidia sana kujijenga na baadae pengine angeweza kurejea na kushika nafasi kubwa.
Nayasema haya sina maana yakuwachukia watu hawa ila kuwajibika ni kitendo cha kiungwana na wapo waliowahi kuwajibika na baadae wakashika nafasi nyeti sana(Mzee Mwinyi na Prof. Muhongo). Sasa watu hawa wawili nliowasemea hapa kama wanataka kupata huku salama ya historia njia sahihi kwao ni kujiondoa ktk nafasi zao na kuwapisha wengine na ikiwezekana waombe radhi kama Msando..
Wenye video hiyo ya Mwenyekiti mnaweza kutuwekea hapa maana mimi imekataa kudounload ila hata kule Facebook kwa Tanzamwanga ipo