Uvutaji Sigara

Uvutaji Sigara

Wavutaji wote kawashtaki hapa!


601084_512053112163847_218185184_n.jpg
 
Mimi ndiyo mwenyekiti wa CHAMA CHA WAVUTA SIGARA TANZANIA, (CHACHAWASITA) haya mnasemaje?
 
Mimi ndiyo mwenyekiti wa CHAMA CHA WAVUTA SIGARA TANZANIA, (CHACHAWASITA) haya mnasemaje?

na mimi ni katibu mtendaji wa hiki chama mimi na mwenyekiti wangu tunakaribisha maswali.....
 
Ni kweli lakini pato la taifa litayumba kama tukiacha kuvuta sigara, kwani bajeti zote za nchi hii zinaanzia kwenye sigara na bia, tukiacha kuvuta kwa mtaji huo zahanati zitajengwa kweli nchi hii, nakuunga mkono kwa kila ulicho kisema kwamba upo sahihi, lakini upande huu wa pili tutasalimika maana bajeti haipiti bila wavutaji sigara kuichangia kwa kuongezewa bei! Wavutaji wakiacha kuvuta bila shaka tutaingia kwenye mkwamo mkubwa!
 
Ni kweli lakini pato la taifa litayumba kama tukiacha kuvuta sigara, kwani bajeti zote za nchi hii zinaanzia kwenye sigara na bia, tukiacha kuvuta kwa mtaji huo zahanati zitajengwa kweli nchi hii, nakuunga mkono kwa kila ulicho kisema kwamba upo sahihi, lakini upande huu wa pili tutasalimika maana bajeti haipiti bila wavutaji sigara kuichangia kwa kuongezewa bei! Wavutaji wakiacha kuvuta bila shaka tutaingia kwenye mkwamo mkubwa!

Wacha tuendelee kuchangia pato la nchi.
 
Hii mada ni darasa zuri,nchi kutegemea sigara na pombe kama chanzo cha mapato ni laana ya waongozaji,Muumba katuzawadia madini,mbuga za wanyama,milima,ardhi,GESI n.k. havitoshi kuendesha bajeti yetu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom