Jumlisha
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,988
- 3,984
Tunduma Kuna uvushaji wa mbolea za ruzuku kupeleka Zambia kwa njia ya magendo.
Hii kazi inasimamiwa na vijana wa CCM, wao wanajiita vijana wa chama chini ya mbunge wa sasa David Silinde na wao wanatoza kila mfuko wa mbolea 2000.
Hizi mbolea zimetapaka sana Zambia licha ya kuwa ni za ruzuku kwa watanzania
Hii kazi inasimamiwa na vijana wa CCM, wao wanajiita vijana wa chama chini ya mbunge wa sasa David Silinde na wao wanatoza kila mfuko wa mbolea 2000.
Hizi mbolea zimetapaka sana Zambia licha ya kuwa ni za ruzuku kwa watanzania