Uvumilivu una kikomo chake

Uvumilivu una kikomo chake

Inabidi vyama viwe na falsafa zinazoeleweka, viwe taasisi zenye utawala na uongozi unaojali maono badala ya kuwa kama kampuni za watu binafsi. Haiwezekani chama kinakuwa na mwenyekiti huyo huyo miaka nenda rudi pasipo na chaguzi zinazoeleweka halafu kila siku unaishia kulaumu kunyanyaswa na chama tawala
Nchi inajengwa katika misingi ya usawa na haki.foundation imara kabisa katika nchi ni haki usawa na maelewano.Mwl nyerere alijitahidi sana kujenga taifa moja lenye usawa na haki.tunapaswa katika kikazi hiki kuundeleza misingi hiyo ili kikazi hiki kitakapopita basi watoto wetu wataendeleza misingi hiyo na kuimarisha zaidi.
 
Kama nilivyosema jana jioni; Uvumilivu siku zote huwa una kikomo chake. Hatuwezi tena kuendelea kujificha kwenye kivuli cha kile kinachoitwa amani ni tunda la roho wakati roho zetu zikiwa na huzuni kila tuamkapo.

Wale wanaoitangaza hii Amani; ukiwatazama kwenye kwapa zao, wameficha Visu na Mapanga. Nchi gani hii ya kidemokrasia.

Ninachoweza kusema; hata hiyo Demokrasia ya Kenya, Uhuru wa Bunge lake na Mahakama ama ule wa Vyombo vya habari uliopo Kenya hivi sasa; haukupatikana kwenye sahani kama kipande cha Mkate. Kuna watu wali-sacrifice maisha yao kwa ajili ya watoto na wajukuu wao, leo hii Wakenya wanaishi raha mstarehe.

Ikumbukwe kuwa; Wakenya walichoshwa na udharimu uliokuwa unafanywa na KANU enzi zile na wakaamua kwa gharama yoyote ile kuidai Katiba Mpya iliyowasaidia kuundwa kwa Tume huru ya Uchaguzi hatimaye dhamira yao ya kuing'oa KANU ikatimia.

Muda na wakati wa kuonyeshana meno na CCM na Watu wake haupo tena; hawa walishadhamiria kung'ang'ania madaraka na hawatakuwa tayari kuona wanawekwa benchi kwa hii kitu inaitwa Uchaguzi.

Sisi tufanye siasa kupitia haya majukwaa ya chaguzi ndogo; lakini tutambue kwamba, dhamira ya CCM ni dhamira hasi iliyojaa uovu ndani yake.
No bloodshed,No real freedom.Historia ni mwalimu mzuri.Anzia Marekani kupitia Civil War,French Revolution,Ant-Apartheid struggles n.k hakuna haki iliyopatikana on Silver plate.
 
Lazima damu imwagike ili kuwe na haki huo ndio ukweli
 
Mwanahabari huru wa HOVYO kabisa kutokea hapa duniani!
Kwa taarifa yako tu CCM NI CHAMA TAWALA na kama HUTAKI ama HAMA NCHI au KUFA!
KADA WA CCM.jpeg

Kwa akili kama hizi hizi una haki kusema uliyoyasema.
 
Kama nilivyosema jana jioni; Uvumilivu siku zote huwa una kikomo chake. Hatuwezi tena kuendelea kujificha kwenye kivuli cha kile kinachoitwa amani ni tunda la roho wakati roho zetu zikiwa na huzuni kila tuamkapo.

Wale wanaoitangaza hii Amani; ukiwatazama kwenye kwapa zao, wameficha Visu na Mapanga. Nchi gani hii ya kidemokrasia.

Ninachoweza kusema; hata hiyo Demokrasia ya Kenya, Uhuru wa Bunge lake na Mahakama ama ule wa Vyombo vya habari uliopo Kenya hivi sasa; haukupatikana kwenye sahani kama kipande cha Mkate. Kuna watu wali-sacrifice maisha yao kwa ajili ya watoto na wajukuu wao, leo hii Wakenya wanaishi raha mstarehe.

Ikumbukwe kuwa; Wakenya walichoshwa na udharimu uliokuwa unafanywa na KANU enzi zile na wakaamua kwa gharama yoyote ile kuidai Katiba Mpya iliyowasaidia kuundwa kwa Tume huru ya Uchaguzi hatimaye dhamira yao ya kuing'oa KANU ikatimia.

Muda na wakati wa kuonyeshana meno na CCM na Watu wake haupo tena; hawa walishadhamiria kung'ang'ania madaraka na hawatakuwa tayari kuona wanawekwa benchi kwa hii kitu inaitwa Uchaguzi.

Sisi tufanye siasa kupitia haya majukwaa ya chaguzi ndogo; lakini tutambue kwamba, dhamira ya CCM ni dhamira hasi iliyojaa uovu ndani yake.
Anza basi kujitoa sadaka wewe kwanza uwe mfano
 
Mwanahabari huru wa HOVYO kabisa kutokea hapa duniani!
Kwa taarifa yako tu CCM NI CHAMA TAWALA na kama HUTAKI ama HAMA NCHI au KUFA!
analalamika tu jf na nyuma ya keyboard, kwa nini basi asiende kupambana tumuone, kuliko kulia lia hapa muda wote na nyuzi hizo hizo, hivi mwana habar huru ni yule anayeongelea mambo ya upande mmoja tu, kwa nini asijiite mwanachadema huru..
 
Back
Top Bottom