Uvumilivu una kikomo chake

Uvumilivu una kikomo chake

Kama nilivyosema jana jioni; Uvumilivu siku zote huwa una kikomo chake. Hatuwezi tena kuendelea kujificha kwenye kivuli cha kile kinachoitwa amani ni tunda la roho wakati roho zetu zikiwa na huzuni kila tuamkapo.

Wale wanaoitangaza hii Amani; ukiwatazama kwenye kwapa zao, wameficha Visu na Mapanga. Nchi gani hii ya kidemokrasia.

Ninachoweza kusema; hata hiyo Demokrasia ya Kenya, Uhuru wa Bunge lake na Mahakama ama ule wa Vyombo vya habari uliopo Kenya hivi sasa; haukupatikana kwenye sahani kama kipande cha Mkate. Kuna watu wali-sacrifice maisha yao kwa ajili ya watoto na wajukuu wao, leo hii Wakenya wanaishi raha mstarehe.

Ikumbukwe kuwa; Wakenya walichoshwa na udharimu uliokuwa unafanywa na KANU enzi zile na wakaamua kwa gharama yoyote ile kuidai Katiba Mpya iliyowasaidia kuundwa kwa Tume huru ya Uchaguzi hatimaye dhamira yao ya kuing'oa KANU ikatimia.

Muda na wakati wa kuonyeshana meno na CCM na Watu wake haupo tena; hawa walishadhamiria kung'ang'ania madaraka na hawatakuwa tayari kuona wanawekwa benchi kwa hii kitu inaitwa Uchaguzi.

Sisi tufanye siasa kupitia haya majukwaa ya chaguzi ndogo; lakini tutambue kwamba, dhamira ya CCM ni dhamira hasi iliyojaa uovu ndani yake.
Rafiki yangu, mwanahabari huru tuache jazba turudie akili yetu na tutafakari pia.

CCM siyo wajinga, eti chadema wapewe uhuru na kuitukana na kudhalilisha chama tawala kizembe kiasi hicho.

Hivi kwa akili tu ya kawaida mnategemea Mh. Mbowe huyuhuyu ninayemfahamu ongoze chadema kufanya maoinduzi/mageuzi kuiondoa CCM?? Hizi ndoto za mchana tena mkiwa post mpya saa 8 za mchana.

Mbowe sina uhakika kama anajua ata theory walau moja ya kimapinduzi/mageuzi duniani. Msifanye siasa ni nyepesi kuasi kile imani yenu juu ya Mbowe porojo za majukwaani ndipo mnamuona anaweza ila mkae mkijua strategically he is too poor. Chadema ilikiwa dr. Slaa wala si mtu mwingine kitendo cha kuwapoteza watu kama akina ZITTO, KITILA, dr. SLAA ilikuwa pigo sana wengi hamukuona.

Hamuwezi kuifanya elimu kitu kisicho hitajika kiasi hiki mpk mfikirie Mbowe aongoze taasisi inayotaka kupora/kipokea madaraka kwa CCM kwanza fikirieni CDM siyo tu kiuongozi iko vibaya bali ata kitaasisi iko hoi kuliko mnavyojiaminisha. Politics is several miles apart from political rallies lazima ihusishe ujasus, ujengaji wa taasisi na uchumi kwa chama.

Mikakati ya Mbowe sawa na kubeti tatu Mzuka tu, ni ujinga na kukosa maono ukiangalia hali ya kisiasa ya chadema na kushindwa kutumia fursa ya wasomi hasa vijana, kwa zaidi ya miaka 10 kuna vijana wengi wasomi walitakiwa kutumika kujijenga na kujiimairisha mwishowe CCM wamestuka na kuziba mianya yote mnabakia kupiga kelele tu.

Wengi sasa hivi mnafikiri zaidi kutia nguvu zaidi ya akili, ni kweli kwa kiasi fulani rafu zipo na ni kawaida kwa mtu aliyeshika madaraka hasa Africa lakini je, hiyo ndiyo ibaki sababu tosha ya kwanini chadema inashindwa si kweli kabisa.

Mwisho, CHADEMA hasa Mbowe atambue hawa wanao hama si kweli kwamba wanahongwa na kuhaidiwa vyeo, waweza kubisha kwasababu tu umeona waliohama wamepewa ila ni kwasababu wengi wao ni watu makini waliona hakuna future chadema na kwa ccm ni lulu maana walikuwa wameishiwa vijana wenye maono. Mh. Rais JPM anakili kuwa amewanyanganya silaha upinzani lazima awatungue nazo.

Ni hayo tu kwa leo.
 
Utakua ni UPUMBAVU uliozidi kipimo kama upinzani utaingia kwenye chaguzi yoyote ile chini ya Tume ya Uchaguzi inayoteuliwa na Rais Mr. Stone. Narudia tena utakua ni UPUMBAVU usio na mfano.
Uko sahihi mkuu.Hawa CHADEMA sidhani kama huwa wanajifunza kitu.Kauli aliyoitoa mtukufu kwa wakurugenzi wake kwamba "nimekuteuwa,nakulipa mshahara halafu mtangaze mpinzani mshindi" ilitosha wao kumshinikiza mtukufu ama atenguwe kauli yake au wapambane kudai si Tume Huru ya Uchaguzi pekee bali Katiba bora(Katiba ya Warioba) kabla hata ya kuingia kwenye chaguzi nyingine.Hakuna mkurugenzi ambaye atakuwa tayari kupoteza nafasi yake.Hii tabia ya kuingia kwenye chaguzi za kihuni hali wakijuwa hatma yao ati tu kwa sababu ulimwengu uone madudu ya watawala haitawasaidia.Katika moja ya hotuba yake katika kampeni ya uchaguzi zilizoisha jana Lowassa alimuasa Mbowe kwamba katika vikao vyao sasa wazungumzie Katiba mpya.NIKASHANGAA.Kama kwenye vikao vyao Katiba siyo agenda KUU,wanajadili nini kwa ajili ya ustawi wa demokrasia na utawala wa sheria?.
 
Mwanahabari huru wa HOVYO kabisa kutokea hapa duniani!
Kwa taarifa yako tu CCM NI CHAMA TAWALA na kama HUTAKI ama HAMA NCHI au KUFA!
Analialia tu jukwaani, hana uwezo wa kuhoji yanayoendelea kwenye chama chake.

Hana uwezo wa kuleta mabadiliko ndani ya nyumba anayoishi, anaishia kukosoa anachokiona kikiendelea kwa jirani.
 
hii mbinu ya kufukuza mawakala wa upinzani kwenye vituo ili wabaki wanaccm tu kwenye vituo. ni zaidi ya dhuluma. kwa kweli ccm ni wanyama...
 
mikutano ya kampeni mnafanya, mnajinadi vizuri tu kama ccm wanavyofanya,
kura zinapigwa, mkishindwa kelele weeee mpaka mnaboa.

Nyuma ya keyboard mko vizuri mno yaani.

Idadi halisi ya wapiga kura inadhihirisha kwamba wananchi wamepuuza huo ushenzi unaoitwa uchaguzi. Tume bila aibu inatangaza idadi kubwa ya wapiga kura bila kujua tumeona kwa macho yetu idadi ndogo ya wapiga kura. Tume inayoweza kutangaza idadi ya uwongo ya wapiga kura unaweza kusema ccm inashinda? Hizi chaguzi ndio kipimo halisi kwanini wazungu hutuita waafrika ni manyani.
 
Hii paragraph yako imenichekesha sana, ''
''Ikumbukwe kuwa; Wakenya walichoshwa na udharimu uliokuwa unafanywa na KANU enzi zile na wakaamua kwa gharama yoyote ile kuidai Katiba Mpya iliyowasaidia kuundwa kwa Tume huru ya Uchaguzi hatimaye dhamira yao ya kuing'oa KANU ikatimia''.

Tatizo la copy&paste kutoka kwenye mitandao na kuleta Jamiiforums.

KANU haikuondolewa madarakani kwa sababu ya katiba mpya.

Kwa kukusaidia naomba utambue kuwa KANU iliondolewa madarakani Desemba 2002 wakati katiba ya Kenya iliundwa mwaka 2010.

Jielimishe kwanza kabla ya kuleta uharo hapa Jamiiforums!
Mkuu nilikuwa namshangaa huyu Mwanahabari Huru ambaye hajui kitu kidogo kama hicho tena cha hivi karibuni na kwa jirani zetu! Kuna mkuu mmoja amesema huyu mwanahabari huru hovyo, mimi sitaki kurudia lakini kwa uandishi huu hakwepi kuwa wa hovyo.
 
Hii paragraph yako imenichekesha sana, ''
''Ikumbukwe kuwa; Wakenya walichoshwa na udharimu uliokuwa unafanywa na KANU enzi zile na wakaamua kwa gharama yoyote ile kuidai Katiba Mpya iliyowasaidia kuundwa kwa Tume huru ya Uchaguzi hatimaye dhamira yao ya kuing'oa KANU ikatimia''.

Tatizo la copy&paste kutoka kwenye mitandao na kuleta Jamiiforums.

KANU haikuondolewa madarakani kwa sababu ya katiba mpya.

Kwa kukusaidia naomba utambue kuwa KANU iliondolewa madarakani Desemba 2002 wakati katiba ya Kenya iliundwa mwaka 2010.

Jielimishe kwanza kabla ya kuleta uharo hapa Jamiiforums!
Kwani vuguvugu la katiba mpya Kenya lilianza lini? Na lilihitimishwa lini?
 
Mwanahabari huru wa HOVYO kabisa kutokea hapa duniani!
Kwa taarifa yako tu CCM NI CHAMA TAWALA na kama HUTAKI ama HAMA NCHI au KUFA!
Utaambulia matusi mwanzo mwisho
Ngoja mi nitizame labda utaelewa
 
Kuna mtu anandaliwa Mazingira ya kushinda chaguzi Bila kupingwa 2020

Ova
 
Kama nilivyosema jana jioni; Uvumilivu siku zote huwa una kikomo chake. Hatuwezi tena kuendelea kujificha kwenye kivuli cha kile kinachoitwa amani ni tunda la roho wakati roho zetu zikiwa na huzuni kila tuamkapo.

Wale wanaoitangaza hii Amani; ukiwatazama kwenye kwapa zao, wameficha Visu na Mapanga. Nchi gani hii ya kidemokrasia.

Ninachoweza kusema; hata hiyo Demokrasia ya Kenya, Uhuru wa Bunge lake na Mahakama ama ule wa Vyombo vya habari uliopo Kenya hivi sasa; haukupatikana kwenye sahani kama kipande cha Mkate. Kuna watu wali-sacrifice maisha yao kwa ajili ya watoto na wajukuu wao, leo hii Wakenya wanaishi raha mstarehe.

Ikumbukwe kuwa; Wakenya walichoshwa na udharimu uliokuwa unafanywa na KANU enzi zile na wakaamua kwa gharama yoyote ile kuidai Katiba Mpya iliyowasaidia kuundwa kwa Tume huru ya Uchaguzi hatimaye dhamira yao ya kuing'oa KANU ikatimia.

Muda na wakati wa kuonyeshana meno na CCM na Watu wake haupo tena; hawa walishadhamiria kung'ang'ania madaraka na hawatakuwa tayari kuona wanawekwa benchi kwa hii kitu inaitwa Uchaguzi.

Sisi tufanye siasa kupitia haya majukwaa ya chaguzi ndogo; lakini tutambue kwamba, dhamira ya CCM ni dhamira hasi iliyojaa uovu ndani yake.
Kwa kweli uvumilivu huwa una kikomo.....kwa ili bado tutavumilia Sana. Wacha CCM watawale mpka Akili zetu zitakapokuwa sawa.

Huyu ni katibu mkuu BAVICHA Taifa amelala wakati wa majumuhisho ya kuhesabu kura Jimbo la ukonga. Bado mnalalama kuwa tunaibiwa kura Mara CCM wanatumia Dola, Mara Mawakala wamezuiliwa kuingia kwenye chumba Cha kuhesabu kura.

CHADEMA kabla ya kulalamikia tume huru tujitadhmini kwanza. Bila ya ivo tutapigwa kweli kweli Tena kisawa sawa.
tapatalk_1537242081323.jpeg
 
Kama taifa tunapaswa kujenga utaifa na umoja badala ya kujenga uadui.taifa hili linatuhitaji sote uwe ccm au upinzani
 
Mkuu kwa nini wote tusihamie ccm tupingane humo humo, China wana chama kimoja pekee cha kikomusti na wamepiga hatua kubwa za kimaendeleo. Ni kitu gani kinakufanya uamini kwamba siasa za vyama vingi ndo inaweza kutuletea maendeleo?
 
Rafiki yangu, mwanahabari huru tuache jazba turudie akili yetu na tutafakari pia.

CCM siyo wajinga, eti chadema wapewe uhuru na kuitukana na kudhalilisha chama tawala kizembe kiasi hicho.

Hivi kwa akili tu ya kawaida mnategemea Mh. Mbowe huyuhuyu ninayemfahamu ongoze chadema kufanya maoinduzi/mageuzi kuiondoa CCM?? Hizi ndoto za mchana tena mkiwa post mpya saa 8 za mchana.

Mbowe sina uhakika kama anajua ata theory walau moja ya kimapinduzi/mageuzi duniani. Msifanye siasa ni nyepesi kuasi kile imani yenu juu ya Mbowe porojo za majukwaani ndipo mnamuona anaweza ila mkae mkijua strategically he is too poor. Chadema ilikiwa dr. Slaa wala si mtu mwingine kitendo cha kuwapoteza watu kama akina ZITTO, KITILA, dr. SLAA ilikuwa pigo sana wengi hamukuona.

Hamuwezi kuifanya elimu kitu kisicho hitajika kiasi hiki mpk mfikirie Mbowe aongoze taasisi inayotaka kupora/kipokea madaraka kwa CCM kwanza fikirieni CDM siyo tu kiuongozi iko vibaya bali ata kitaasisi iko hoi kuliko mnavyojiaminisha. Politics is several miles apart from political rallies lazima ihusishe ujasus, ujengaji wa taasisi na uchumi kwa chama.

Mikakati ya Mbowe sawa na kubeti tatu Mzuka tu, ni ujinga na kukosa maono ukiangalia hali ya kisiasa ya chadema na kushindwa kutumia fursa ya wasomi hasa vijana, kwa zaidi ya miaka 10 kuna vijana wengi wasomi walitakiwa kutumika kujijenga na kujiimairisha mwishowe CCM wamestuka na kuziba mianya yote mnabakia kupiga kelele tu.

Wengi sasa hivi mnafikiri zaidi kutia nguvu zaidi ya akili, ni kweli kwa kiasi fulani rafu zipo na ni kawaida kwa mtu aliyeshika madaraka hasa Africa lakini je, hiyo ndiyo ibaki sababu tosha ya kwanini chadema inashindwa si kweli kabisa.

Mwisho, CHADEMA hasa Mbowe atambue hawa wanao hama si kweli kwamba wanahongwa na kuhaidiwa vyeo, waweza kubisha kwasababu tu umeona waliohama wamepewa ila ni kwasababu wengi wao ni watu makini waliona hakuna future chadema na kwa ccm ni lulu maana walikuwa wameishiwa vijana wenye maono. Mh. Rais JPM anakili kuwa amewanyanganya silaha upinzani lazima awatungue nazo.

Ni hayo tu kwa leo.
Inabidi vyama viwe na falsafa zinazoeleweka, viwe taasisi zenye utawala na uongozi unaojali maono badala ya kuwa kama kampuni za watu binafsi. Haiwezekani chama kinakuwa na mwenyekiti huyo huyo miaka nenda rudi pasipo na chaguzi zinazoeleweka halafu kila siku unaishia kulaumu kunyanyaswa na chama tawala
 
Hii paragraph yako imenichekesha sana, ''
''Ikumbukwe kuwa; Wakenya walichoshwa na udharimu uliokuwa unafanywa na KANU enzi zile na wakaamua kwa gharama yoyote ile kuidai Katiba Mpya iliyowasaidia kuundwa kwa Tume huru ya Uchaguzi hatimaye dhamira yao ya kuing'oa KANU ikatimia''.

Tatizo la copy&paste kutoka kwenye mitandao na kuleta Jamiiforums.

KANU haikuondolewa madarakani kwa sababu ya katiba mpya.

Kwa kukusaidia naomba utambue kuwa KANU iliondolewa madarakani Desemba 2002 wakati katiba ya Kenya iliundwa mwaka 2010.

Jielimishe kwanza kabla ya kuleta uharo hapa Jamiiforums!
Tena kwa kuongezea hapo. Vurugu zilitokea baada ya uchaguzi 2007 baada ya kuapishwa Mwai Kibaki awamu ya pili. Hivyo vurugu za Kenya ni zao la upinzani si KANU.
 
Inabidi vyama viwe na falsafa zinazoeleweka, viwe taasisi zenye utawala na uongozi unaojali maono badala ya kuwa kama kampuni za watu binafsi. Haiwezekani chama kinakuwa na mwenyekiti huyo huyo miaka nenda rudi pasipo na chaguzi zinazoeleweka halafu kila siku unaishia kulaumu kunyanyaswa na chama tawala
nchi yenyewe haijelewi vipi chama kijielewe,watanzania kwa umoja wetu ni mbuzi sisi.
 
mikutano ya kampeni mnafanya, mnajinadi vizuri tu kama ccm wanavyofanya,
kura zinapigwa, mkishindwa kelele weeee mpaka mnaboa.

Nyuma ya keyboard mko vizuri mno yaani.
Dhamira yako inakushuhudia kwamba upinzani wanashindwa kwa haki?
 
Back
Top Bottom