Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
- Thread starter
- #61
Ushauri wangu kwako kaoe mkuria baba ssi wakuria watoto wetu wa kikuria huwa tunawapa mafunzo ya kijeshi bila kuwapeleka jkt ukibahatka kumpata mmoja atakufundisha ukakamavu na uvumilivu kwli2.nawasilisha wakuu.
na ntahitaji kwenda na kigunia cha dawa za kupunguza maumivu plus helmet