Uvumilivu kwenye ndoa

Uvumilivu kwenye ndoa

Ushauri wangu kwako kaoe mkuria baba ssi wakuria watoto wetu wa kikuria huwa tunawapa mafunzo ya kijeshi bila kuwapeleka jkt ukibahatka kumpata mmoja atakufundisha ukakamavu na uvumilivu kwli2.nawasilisha wakuu.

na ntahitaji kwenda na kigunia cha dawa za kupunguza maumivu plus helmet
 
tena hao ndio waguma kukubali ndoa ivunjike wanakwambia vumilia hadi kifo kitakapowatenganisha



Wewe ogopa sana unapewa cheti bila mtiani...mitiani yake ndo hiyoo na jibu lake ndo hilo uvumilivu. Na mkataba ulioingia uko wazi kifo ndo kitawatenganisha.
 
  • Thanks
Reactions: lin
Habari zenu.

Mara nyingi wanandoa huambiwa au hushauriwa swala zima la UVUMILIVU huenda ikawa kabla ya kuingia kwenye ndoa au hata baada ya kuingia kwenye ndoa.

Lakini nimeona kama watu hawa wenye busara zao kama wazee/wazazi au viongozi wa dini huwa hawasemi huu UVUMILIVU UWE TO WHAT EXTENT.

Mfano unakuta mwanamke anapigwa na mumewe au mwanaume anapigwa na mkewe lakini akienda kwa viongozi wa dini au wazee/wazazi wanamwambia avumilie tu ndio ndoa zilivyo.

Ndipo nilipopata hili swali HUU UVUMILIVU HAUNA KIKOMO humu ndani najua kuna watu wenye busara na hekima najua tutapata cha kujifunza.

Ni hayo tu.

KARIBUNI.

Ukweli uvumilivu unakipimo chake, ukizidiwa itabidi ubwage manyanga maana utakua mtumwa
 
  • Thanks
Reactions: lin
You must became down bse ndoa ni kuvumilia wakati wa shida na raha ktk ulimwengu wa michezo ni kusikilizana.

hiv waposemaga for better for worse kumbe nafaa nivumilie vtu kama kupigwa , kugonganishwa na michepuko , kuombwa tigo, matusi kejeli n dharau.... really af you tellig me nivumilie ?!!!
baba paroko...
 
Pole dada kwa kudundwa kila mara.....vumilia tu ndoa ndoano

siko kwenye ndoa & haijanitokea mimi siku ikinitokea sintafikiria mara mbili kwa kweli,mwanamke hapigwi mangumi jameni
 
Ukweli uvumilivu unakipimo chake, ukizidiwa itabidi ubwage manyanga maana utakua mtumwa

kabisa,kuna vya kuvumilia na kuna vingine havivumiliki
 
Back
Top Bottom