Uvumilivu kwenye ndoa

Uvumilivu kwenye ndoa

Unaoenda kuwaomba ushauri, ndio walikushauri uolewe/kuoa? Use your common sense.


Washauri wazuri wa ndoa wenyewe hawana ndoa! Km yule mchungaji wetu pale mikocheni!
 
Sipendi kusemwa semwa, sipendi kulalamikiwa, sipendi kupigwa, sipendi kuonewa jaman sipendi vingi........ ntavumilia vitu vingine vidogovidogo lakin vingine big NO
 
kwa hiyo as long as uko kwenye ndoa hata kuwe na tatizo linalohatarisha maisha yako lazima uvumilie?

Tafuta suluhisho ukiwa ndani ya ndoa, na sio nje ya ndoa. Imean kama jambo linahatarisha maisha yako, tafuta namna ya kukabiliana na tatizo hilo bila kuathiri ndoa yako. Thats what am talking about
 
Tafuta suluhisho ukiwa ndani ya ndoa, na sio nje ya ndoa. Imean kama jambo linahatarisha maisha yako, tafuta namna ya kukabiliana na tatizo hilo bila kuathiri ndoa yako. Thats what am talking about

nimekuelewa vizuri now nilielewa ndivyo sivyo
 
Sipendi kusemwa semwa, sipendi kulalamikiwa, sipendi kupigwa, sipendi kuonewa jaman sipendi vingi........ ntavumilia vitu vingine vidogovidogo lakin vingine big NO

mmmhhhhhhh?inabidi uvumilie tu jamani,hapo ndio anaonyesha upendo wake wa kweli akikupiga lol
 
It depends on alot of things. Aina ya kosa na mkosaji.Ni kosa kubwa?Anaekosa ana react vipi? Kuna guilt? Anajirekebisha?
 
You must became down bse ndoa ni kuvumilia wakati wa shida na raha ktk ulimwengu wa michezo ni kusikilizana.
 
Binafsi siamini Eti kwa sababu watu wamefunga ndoa ndiyo uvumilie hadi mtu mauti yamfike.Ni uelewa potofu.Naamuni mtu anaweza kuoa au kuolewa na Kama inafika wakati Kuna missunderstanding kati ya wanandoa,mpaka kuumizana,na inafikia wakati mtu anawaza na kuhisi maisha si kitu,you just leave and find the other one,NDOA SIO KUVUMILIA TO THE EXTENTYA KUHATARISHWA MAISHA.
 
mi huwa nachekaga baadhi ya wanaume kabla hela haijakokea atakusihi vumilia tu mke wangu utavaa kanga moja wee mwishoye utajua jinsi ambavyo ulivyokuwa unamuandalia maisha mazur hawara yake
 
mfano?usinibanie jamani niambie na mi nijifunze

Ndoa ina mafundisho yake kulingana na nyakati tofauti tofauti inazokuwa inapitalakini ukiacha mafundisho hayo huwa wanandoa waitwa kwa pamoja na kupewa nasaha zikiambatana na maombi...
 
  • Thanks
Reactions: lin
Ukihitaji mawazo unayoshauriwa humu ukubali pia na ushauri wa mabachala na vibaka ambao hawajaoa..mtu atakushauri nn wkti yeye anajua kwamba hajawahi kumilik mke au mume ijapo kwa lisaa limoja??kwli jmf kuna wahuni.
 
  • Thanks
Reactions: lin
Ushauri wangu kwako kaoe mkuria baba ssi wakuria watoto wetu wa kikuria huwa tunawapa mafunzo ya kijeshi bila kuwapeleka jkt ukibahatka kumpata mmoja atakufundisha ukakamavu na uvumilivu kwli2.nawasilisha wakuu.
 
Habari zenu.

Mara nyingi wanandoa huambiwa au hushauriwa swala zima la UVUMILIVU huenda ikawa kabla ya kuingia kwenye ndoa au hata baada ya kuingia kwenye ndoa.

Lakini nimeona kama watu hawa wenye busara zao kama wazee/wazazi au viongozi wa dini huwa hawasemi huu UVUMILIVU UWE TO WHAT EXTENT.

Mfano unakuta mwanamke anapigwa na mumewe au mwanaume anapigwa na mkewe lakini akienda kwa viongozi wa dini au wazee/wazazi wanamwambia avumilie tu ndio ndoa zilivyo.

Ndipo nilipopata hili swali HUU UVUMILIVU HAUNA KIKOMO humu ndani najua kuna watu wenye busara na hekima najua tutapata cha kujifunza.

Ni hayo tu.

KARIBUNI.

Kila mtu ana namna yake ya uvumilivu au ya kupambana na changamoto mbalimbali za maisha ikiwemo za mahusiano au ndoa..

Hivyo sitegemei kuwepo na formula ya ukomo wa huo uvumilivu.
 
  • Thanks
Reactions: lin
nikweli ndoa inahitaji uvumilivu ila uvumilivu lazima uwe na mipaka ikizingatia lengo la kuamua kuoana. mimi binafisi najua lengo la ndoa ni kuishi pamoja ili muweze kuijenga familia na maisha yenu pamoja na familia munayoijenga kwa pamoja lakini pia muweze kutuliza hamu ya matamanio yenu. sasa ili muweze kuish kwa msing huu na maisha yaende ni lazima kwanza kila mtu ajitambue kwa nafasi yake kwamwenzake kila aish kwa kulinda heshima ya mwenzake.yani kama nimume ulinde heshima ya mkeo mbele ya jamii inayowazunguka na mkepia hivyohivyo.lakini pia kujua kua kila mtu anawajibu wakuleta maendeleo hata kama.hana kipato lazima kila munachofanya kiwe ni mawazo ya wote hapa munaweza kuish kwa kuvumiliana yale matatizo madogo madogo. sasa yapi hayavumiliki nitatoa mifano michache. mume anaamka asubuh karusha buku mbili mezani haitosh hata mwanamke ungepiga bajeti ya kula ugali na chumv kutwanzima alafu jioni akirudi yuko tilalila tena muda huo anakuja usiku mkali nakupigwa upigwe.umetumia njia zote mpaka kwa wazazi imeshindikana unakas hapo huna kwenu?hata kama unawatoto beba wanao nenda kwenu tafta kibaru ulishe wanao.au mume unaenda kuhangaika huko ukija ndani kile kidogo ulichopata unamkabidh mkeo mke wangu fanya matumizi kidogo nyingine tuweke akiba kuna leo na kesho mke anachukua zile hela anazitumia atakavyo tena bila kukujali tens ukiongea ndo kwaanza umemfungia spika akukoromee vizuri.huyu mh mimi siwezi kumvumilia.mwanamke asiyekua na mawazo ya maendeleo au mume ni shids kubwa.lamwisho na kubwa tena lenye madhara zaidi michepuko maisha ya kila kukicha unakutana na sms za michepuko yake kila unavyomueleza hakuelewi.unakaa usubiro nini?ukimwi au watoto wa kambo? tena ambao hawezi kuwalea

umeongea vzr mno ...zmn wazaz wetu walvumiliana haswaa km mwenzieana mchepuko bt lyf yetu hii uwez vumilia hlo koz magonjwa meng cku hz co km enz za wazee we2
 
  • Thanks
Reactions: lin
Back
Top Bottom