Uvumbuzi mkubwa: Watu weusi ndiyo wenyeji wa visiwa vya Uingereza

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,784
Wasalaam,
Leo BBC wametangaza matokeo ya utafiti uliofanywa na wanasayansi na wanahistoria wa Uingereza kwenye baadhi ya miili ya binadamu ambayo ina miaka zaidi ya 10,000 kwenye visiwa hivyo. Professor Chris Stringer amesema amesema amemsoma huyo mtu ambaye walimpa jina "Chedar Man" kwa zaidi ya miaka 40 mfululizo.

Mwili huo waliupata mwaka 1903 kwenye pango na wanasayansi wakajaribu kutafuta DNA kama watapata na kweli walifanikiwa kukuta zilizobakia. Walichokikuta humo ndani kimewashangaza kwamba mtu yule mwenye asili ya pale alikuwa na nywele nyeusi, macho ya rangi bluu na ngozi nyeusi.

Wamesema huu utafiti umepingana kabisa na zile nadharia za kisayansi hasahasa Evolution ambazo wengi tumeziamini kwa muda mrefu kwamba Mazingira ndiyo yanafanya watu wawe weusi na weupe. Wao wamesema kwamba mtu huyu aliishia kipindi ambacho kilikuwa ni cha baridi sanaa, hivyo basi kama hakuwa mweupe kuna uwezekano kwamba mazingira hayana madhara yoyote.

Amekiri na kusema kwamba hii dhana ya Wazungu weupe imekuja zama hizi zetu,
Hivyo walivyomtengeneza yule mtu kutokana na sifa za DNA wakapata sura ya mtu kama ilivyo hapa chini.
chdae.jpg


MY TAKE: Huu utafiti haujapokelewa vizuri sana na wazungu maana mpaka sasa wanatukana sana wakisema hii ni agenda ya kufanya Historical Revisionism: Wanaweza wakawa wana hoja kubwa kama kweli huu utafiti utakuwa tu umepikwa. Kwasababu kuna watu hadi leo hii wanaamini kwamba Wayahudi hawakuuliwa na Wanazi na hadi wengine wamediriki kusema kwamba yale mauji ya Rwanda hayakuwa ya halaiki.

Lakini tusikosee hata kidogo,
Kama wanasayansi wamethibitisha hili jambo basi tunaomba hoja zijibu hoja.
Binafsi nimefurahishwa sana, siyo kwasababu Waafrika ndiyo walikuwa wa kwanza huko Barani Ulaya: Lah, hasha bali kwasababu Ukweli ambao dunia ilijaribu kuuficha kwa ajili ya manufaa ya kundi fulani fulani linalokandamiza watu weusi unaanza kutoka.

Mungu alivyomuumba kila mwanadamu,
Mzungu, Mwafrika, Mwarabu na Mchina alikuwa na makusudi yake.
Wala hakuna jamii yenye maana sana kuliko nyenzake: Leo hii maendeleo haya tuliyonayo ni juhudi za kila jamii iliyopo hapa chini ya jua. Ndiyo maana huwa nasema kwamba tunaweza kuwa na historia yetu kama Waafrika, lakini kwa ujumla HISTORY IS A COMMON HERITAGE TO MANKIND. Mwisho wa siku tutakuja kujua kwamba wote tumetokea sehemu moja na yanayotuunganisha ni mengi kuliko yanayotugawanya. WHITE-WASHING of human history was a very major crime against humanity.

NB: Ukimsoma mwanahistoria wa Kigiriki wa karne nyingi zilizopita Herodotus anasema alisafiri kwenda Ulaya maeneo ya Vilima vya Kaukasia (Caucasian Mountains), ambapo kando kando ya mito alikutana na watu weusi ambao walikuwa ni wakazi wa pale. Neno alilolitumia kuwaelezea hawa watu ni Ethiopians ambalo lina maana kwamba "aitho"- Ulioungua na "ops" -Uso. Hivyo watu wenye nyuso zilizoungua ambalo pia alilitumia kuwaelezea sana watu wa Misri ya Zamani kipindi hicho inaitwa Kemet......(Leo hii wasomi wanasema Wamisri walikuwa ni waarabu)

Hiki chanzo cha Herodotus kilipingwa sana kwamba ni "Unreliable" and "Unverified" kama yalivyo matukio ya kwenye Biblia na Quran. Japo sasa leo tumepata Blue-Print kwamba wazazi wa hawa wazungu walikuwa ni weusi na Bara la Ulaya lilikaliwa na watu weusi.

ANGALIZO:
Hili bandiko halina dhumni la kuchochea mjadala wa Ubaguzi wa rangi,
Dhana nzima ni kusema kwamba kuna madhara makubwa sana ya kutaka kufukia ukweli.
Pia, kuna madhara makubwa sana ya jamii moja kuwabagua jamii ya pili kutokana na rangi au maumbile. Haya sasa Wahenga wao walikuwa weusi tiii.....(Wonders shall never cease)

CHANZO CHA HII HABARI:
1. First modern Brits were black, groundbreaking DNA test on 10,000-year-old fossil reveals

CC: ISIS , zitto junior , Consigliere , UmkhontoweSizwe , Red Giant , Safari_ni_Safari , Fantasia , Da'Vinci , neo1 , Bukyanagandi , mng'ato
 
Iwe kweli au sio kweli kuhusu weusi kuwepo Ulaya kabla ya weupe kwangu sio muhimu; muhimu na swali kubwa kwangu ni hili, "Kwanini weusi hatuna maendeleo kama weupe!" Na in fact ni kama weupe wana akili zaidi kuliko weusi, hilo ndio swali langu kubwa na proof ya hilo inaweza kua hu hu utafiti; kwanini Ulaya ya weusi imekua ya weupe!? Au kwanini wageni wamakuja na kuwaondoa wenyeji na wakafanikiwa? Ina maana wao hawakua na uwezo wa kujitetea!? Msinambie habari za kutawaliwa eti ndio sababu tumekua masikini; kwanza nitakuuliza tena, kwanini tulitawaliwa na wao kama tulikua na uwezo sawa!? Again, nimeikataa hiyo hoja kwasababu mataifa mengi tu duniani yalitwaliwa na leo yanasumbua dunia kwa tecknolojia na maendeleo, mfano China, India, Indonesi, Korea zote mbili nk.
 
BBC NEWS:

A cutting-edge scientific analysis shows that a Briton from 10,000 years ago had dark skin and blue eyes.

Researchers from London's Natural History Museum extracted DNA from Cheddar Man, Britain's oldest complete skeleton, which was discovered in 1903.

University College London researchers then used the subsequent genome analysis for a facial reconstruction.

It underlines the fact that the lighter skin characteristic of modern Europeans is a relatively recent phenomenon.

No prehistoric Briton of this age had previously had their genome analysed.

As such, the analysis provides valuable new insights into the first people to resettle Britain after the last Ice Age.

The analysis of Cheddar Man's genome - the "blueprint" for a human, contained in the nuclei of our cells - will be published in a journal, and will also feature in the upcoming Channel 4 documentary The First Brit, Secrets Of The 10,000-year-old Man.

Cheddar Man's remains had been unearthed 115 years ago in Gough's Cave, located in Somerset's Cheddar Gorge. Subsequent examination has shown that the man was short by today's standards - about 5ft 5in - and probably died in his early 20s.

Prof Chris Stringer, the museum's research leader in human origins, said: "I've been studying the skeleton of Cheddar Man for about 40 years

"So to come face-to-face with what this guy could have looked like - and that striking combination of the hair, the face, the eye colour and that dark skin: something a few years ago we couldn't have imagined and yet that's what the scientific data show."

Fractures on the surface of the skull suggest he may even have met his demise in a violent manner. It's not known how he came to lie in the cave, but it's possible he was placed there by others in his tribe.

The Natural History Museum researchers extracted the DNA from part of the skull near the ear known as the petrous. At first, project scientists Prof Ian Barnes and Dr Selina Brace weren't sure if they'd get any DNA at all from the remains.

But they were in luck: not only was DNA preserved, but Cheddar Man has since yielded the highest coverage (a measure of the sequencing accuracy) for a genome from this period of European prehistory - known as the Mesolithic, or Middle Stone Age.

They teamed up with researchers at University College London (UCL) to analyse the results, including gene variants associated with hair, eye and skin colour.

Extra mature Cheddar
They found the Stone Age Briton had dark hair - with a small probability that it was curlier than average - blue eyes and skin that was probably dark brown or black in tone.

This combination might appear striking to us today, but it was a common appearance in western Europe during this period.

Steven Clarke, director of the Channel Four documentary, said: "I think we all know we live in times where we are unusually preoccupied with skin pigmentation."

Prof Mark Thomas, a geneticist from UCL, said: "It becomes a part of our understanding, I think that would be a much, much better thing. I think it would be good if people lodge it in their heads, and it becomes a little part of their knowledge."

Cheddar Man's genome reveals he was closely related to other Mesolithic individuals - so-called Western Hunter-Gatherers - who have been analysed from Spain, Luxembourg and Hungary.

Dutch artists Alfons and Adrie Kennis, specialists in palaeontological model-making, took the genetic findings and combined them with physical measurements from scans of the skull. The result was a strikingly lifelike reconstruction of a face from our distant past.

Pale skin probably arrived in Britain with a migration of people from the Middle East around 6,000 years ago. This population had pale skin and brown eyes and absorbed populations like the ones Cheddar Man belonged to.

No-one's entirely sure why pale skin evolved in these farmers, but their cereal-based diet was probably deficient in Vitamin D. This would have required agriculturalists to absorb this essential nutrient from sunlight through their skin.

"There may be other factors that are causing lower skin pigmentation over time in the last 10,000 years. But that's the big explanation that most scientists turn to," said Prof Thomas.

Boom and bust

The genomic results also suggest Cheddar Man could not drink milk as an adult. This ability only spread much later, after the onset of the Bronze Age.

Present-day Europeans owe on average 10% of their ancestry to Mesolithic hunters like Cheddar Man.

Britain has been something of a boom-and-bust story for humans over the last million-or-so years. Modern humans were here as early as 40,000 years ago, but a period of extreme cold known as the Last Glacial Maximum drove them out some 10,000 years later.

There's evidence from Gough's Cave that hunter-gatherers ventured back around 15,000 years ago, establishing a temporary presence when the climate briefly improved. However, they were soon sent packing by another cold snap. Cut marks on the bones suggest these people cannibalised their dead - perhaps as part of ritual practices.

Britain was once again settled 11,000 years ago; and has been inhabited ever since. Cheddar Man was part of this wave of migrants, who walked across a landmass called Doggerland that, in those days, connected Britain to mainland Europe. This makes him the oldest known Briton with a direct connection to people living here today.

This is not the first attempt to analyse DNA from the Cheddar Man. In the late 1990s, Oxford University geneticist Brian Sykes sequenced mitochondrial DNA from one of Cheddar Man's molars.

Mitochondrial DNA comes from the biological "batteries" within our cells and is passed down exclusively from a mother to her children.

Prof Sykes compared the ancient genetic information with DNA from 20 living residents of Cheddar village and found two matches - including history teacher Adrian Targett, who became closely connected with the discovery.
 
Wasalaam,
Leo BBC wametangaza matokeo ya utafiti uliofanywa na wanasayansi na wanahistoria wa Uingereza kwenye baadhi ya miili ya binadamu ambayo ina miaka zaidi ya 10,000 kwenye visiwa hivyo. Professor Chris Stringer amesema amesema amemsoma huyo mtu ambaye walimpa jina "Chedar Man" kwa zaidi ya miaka 40 mfululizo.

Mwili huo waliupata mwaka 1903 kwenye pango na wanasayansi wakajaribu kutafuta DNA kama watapata na kweli walifanikiwa kukuta zilizobakia. Walichokikuta humo ndani kimewashangaza kwamba mtu yule mwenye asili ya pale alikuwa na nywele nyeusi, macho ya rangi bluu na ngozi nyeusi.

Wamesema huu utafiti umepingana kabisa na zile nadharia za kisayansi hasahasa Evolution ambazo wengi tumeziamini kwa muda mrefu kwamba Mazingira ndiyo yanafanya watu wawe weusi na weupe. Wao wamesema kwamba mtu huyu aliishia kipindi ambacho kilikuwa ni cha baridi sanaa, hivyo basi kama hakuwa mweupe kuna uwezekano kwamba mazingira hayana madhara yoyote.

Amekiri na kusema kwamba hii dhana ya Wazungu weupe imekuja zama hizi zetu,
Hivyo walivyomtengeneza yule mtu kutokana na sifa za DNA wakapata sura ya mtu kama ilivyo hapa chini.View attachment 692096

MY TAKE: Huu utafiti haujapokelewa vizuri sana na wazungu maana mpaka sasa wanatukana sana wakisema hii ni agenda ya kufanya Historical Revisionism: Wanaweza wakawa wana hoja kubwa kama kweli huu utafiti utakuwa tu umepikwa. Kwasababu kuna watu hadi leo hii wanaamini kwamba Wayahudi hawakuuliwa na Wanazi na hadi wengine wamediriki kusema kwamba yale mauji ya Rwanda hayakuwa ya halaiki.

Lakini tusikosee hata kidogo,
Kama wanasayansi wamethibitisha hili jambo basi tunaomba hoja zijibu hoja.
Binafsi nimefurahishwa sana, siyo kwasababu Waafrika ndiyo walikuwa wa kwanza huko Barani Ulaya: Lah, hasha bali kwasababu Ukweli ambao dunia ilijaribu kuuficha kwa ajili ya manufaa ya kundi fulani fulani linalokandamiza watu weusi unaanza kutoka.

Mungu alivyomuumba kila mwanadamu,
Mzungu, Mwafrika, Mwarabu na Mchina alikuwa na makusudi yake.
Wala hakuna jamii yenye maana sana kuliko nyenzake: Leo hii maendeleo haya tuliyonayo ni juhudi za kila jamii iliyopo hapa chini ya jua. Ndiyo maana huwa nasema kwamba tunaweza kuwa na historia yetu kama Waafrika, lakini kwa ujumla HISTORY IS A COMMON HERITAGE TO MANKIND. Mwisho wa siku tutakuja kujua kwamba wote tumetokea sehemu moja na yanayotuunganisha ni mengi kuliko yanayotugawanya. WHITE-WASHING of human history was a very major crime against humanity.

NB: Ukimsoma mwanahistoria wa Kigiriki wa karne nyingi zilizopita Herodotus anasema alisafiri kwenda Ulaya maeneo ya Vilima vya Kaukasia (Caucasian Mountains), ambapo kando kando ya mito alikutana na watu weusi ambao walikuwa ni wakazi wa pale. Neno alilolitumia kuwaelezea hawa watu ni Ethiopians ambalo lina maana kwamba "aitho"- Ulioungua na "ops" -Uso. Hivyo watu wenye nyuso zilizoungua ambalo pia alilitumia kuwaelezea sana watu wa Misri ya Zamani kipindi hicho inaitwa Kemet......(Leo hii wasomi wanasema Wamisri walikuwa ni waarabu)

Hiki chanzo cha Herodotus kilipingwa sana kwamba ni "Unreliable" and "Unverified" kama yalivyo matukio ya kwenye Biblia na Quran. Japo sasa leo tumepata Blue-Print kwamba wazazi wa hawa wazungu walikuwa ni weusi na Bara la Ulaya lilikaliwa na watu weusi.

ANGALIZO:
Hili bandiko halina dhumni la kuchochea mjadala wa Ubaguzi wa rangi,
Dhana nzima ni kusema kwamba kuna madhara makubwa sana ya kutaka kufukia ukweli.
Pia, kuna madhara makubwa sana ya jamii moja kuwabagua jamii ya pili kutokana na rangi au maumbile. Haya sasa Wahenga wao walikuwa weusi tiii.....(Wonders shall never cease)

CHANZO CHA HII HABARI:
1. First modern Brits were black, groundbreaking DNA test on 10,000-year-old fossil reveals

CC: ISIS , zitto junior , Consigliere , UmkhontoweSizwe , Red Giant , Safari_ni_Safari , Fantasia , Da'Vinci , neo1 , Bukyanagandi , mng'ato
Umeanza vizuri ila ulipofika kwenye mungu kuumba waafrica na wazungu na waarabu ukajichanganya mwenyewe maana inaonekana wewe hata ukichoandika hukijui
 
Iwe kweli au sio kweli kuhusu weusi kuwepo Ulaya kabla ya weupe kwangu sio muhimu; muhimu na swali kubwa kwangu ni hili, "Kwanini weusi hatuna maendeleo kama weupe!" Na in fact ni kama weupe wana akili zaidi kuliko weusi, hilo ndio swali langu kubwa na proof ya hilo inaweza kua hu hu utafiti; kwanini Ulaya ya weusi imekua ya weupe!? Au kwanini wageni wamakuja na kuwaondoa wenyeji na wakafanikiwa? Ina maana wao hawakua na uwezo wa kujitetea!? Msinambie habari za kutawaliwa eti ndio sababu tumekua masikini; kwanza nitakuuliza tena, kwanini tulitawaliwa na wao kama tulikua na uwezo sawa!? Again, nimeikataa hiyo hoja kwasababu mataifa mengi tu duniani yalitwaliwa na leo yanasumbua dunia kwa tecknolojia na maendeleo, mfano China, India, Indonesi, Korea zote mbili nk.

Hujasoma wewe!
Usikurupuke kujibu bila kusoma.
Hawa ni ancestors wa wazungu unao waona leo hii. (The Current Presumption)
Wapi wamesema wameondolewa kwa nguvu na kuwa na akili kuliko wa Afrika ???

NB: Hebu acha siasa.
 
Umeanza vizuri ila ulipofika kwenye mungu kuumba waafrica na wazungu na waarabu ukajichanganya mwenyewe maana inaonekana wewe hata ukichoandika hukijui

Mkuu ni ruhusa kusema unachotaka,
Its a free world japo wewe huna mamlaka wala uwezo wa kusema mimi nimepatia au nimekosea.
Endelea kuamini unachokiamini kama unaona kinafaa, akili ya kutaka kusema mimi nakosea IMANI YANGU WEWE HUNA na WALA HUJI KUWA NAYO......I guarantee this!
 
Mkiwa wapumbavu, Mtaambiwa kila kitu nyie ndio wavumbuzi na mtachekelea kuwa nyie (sisi) ni maginias.
Achaneni na mzungu, asiwachezee akili kiasi hicho.

Bwana mdogo kama kawaida yako,
Wewe nawe umekurupuka hapa bila kusoma,
Hapa hatuongelei Akili ya Mzungu VS Mwafrika.
Tunaongelea uwepo wa watu weusi Barani Ulaya: Hayo ya kuvumbua unayotoa wapi ???
 
Bwana mdogo kama kawaida yako,
Wewe nawe umekurupuka hapa bila kusoma,
Hapa hatuongelei Akili ya Mzungu VS Mwafrika.
Tunaongelea uwepo wa watu weusi Barani Ulaya: Hayo ya kuvumbua unayotoa wapi ???
Haijalishi!! Hayo matapishi also known as UVUMBUZI mkubwa unauamini?? Aliyekwambia uvumbuzi wowote ni kuhusu akili ni nani??
 
Huu niudhibitisho zaidi kuwa asili ya binadamu ni mtu mweusi. Nashauri tuache kuwachora adamu na hawa kama watu weupe:). Binadamu walitoka Afrika wakasambaa kuelekea middle east na Europe. Wakasambaa hadi Asia ya mashariki na kuvuka bering strait kuingia Amerika na kisha kusambaa hadi Amerika kusini. Ndiyo maana wa aborigines wengi wa Australia, Taiwan au phillipines wanauethiopiaethiopia ni sababu mtu wa kale kwenda huko alitoka Africa. Haya mambo ya tofauti ya rangi ni kutokana na genetic na ubaguzi wakati wa kumate. Mtu akiwa mweusi anaweza kuzaa mtu mweupe au mwenye macho ya bluu kwasababu genes hizo anazo sema hazina nguvu na chance ni ndogo. Sasa ikitokea kwenye jamii watu weupe, weusi, albino, wenye macho ya bluu wakaamua kuona wao kwa wao lazima races tofauti zitokee.
 
Back
Top Bottom