Uvivu haufaiiiiiiiiiii..........................!

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
uvivu waweza kuwa kipaji, <br />
<br />
mtoto; Baba naomba uniletee hiyo glass<br />
<br />
Baba; Njoo uchukue mwenyewe<br />
<br />
Mtoto: Baba niletee basiiiii!<br />
<br />
Baba: Usinisumbue ntakuja kukuchapa...!<br />
<br />
Mtoto: Basi baba ukija kunichapa njoo na hiyo glass
 
Hiyo ni zaidi ya uvivu, inawezekana hata akichapwa anajisikia uvivu kukimbia!
Nice joke!
 
Anaweza jisikia uvivu hata wa kusikia maumivu huyu. Teh teh, kama mkoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…