UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

Lowasa sio fisadi ila alikuwa akitumika kama fisadi. So aliekuwa akimtumia lowasa ndo baba lao sasa lowasa kaamua kuacha ufisadi je hao wengine mnaowafuga huko ndani
 
Lowasa ndio raisi mnaota ndoto gani?IVI UNAWEZA KUMLINGANISHA LOWASA NA MAGUFULI?SURA TU LOWASA JU!KIUTENDAJI LOWASA JUU!MAGUFULI YULE ANAFANYA KAZI KWA REMOTE NA KWA SIFAA!MSITAKE KUAMBIWA KAPIGE MBIZI!LOWASA AMESHATOA KAULI GANI IKAWAUZI WANANCHI?MAGUFULI AFAI KUWA RAISI!AKAPIGE MBIZI!
 
Uvccm na nyie badilikeni jamani!atakama mnaipenda ccm!inatuuwa jamani!tuwape wengine tubadilishe upepo wakuu!ila mi namini system ya ccm sasaivi imeoza sana!
 
Ukimtaja lowasa kuwa ni fisadi ujue yeye alikuwa ni cha mtoto wenye ufisadi wamo ndani ya nyumba (CCM). Bado majambazi hawa wanatutawala ee Mola waangamize maficcm
Muongo Lowasa ndiyo fisadi pekee ambaye pia ndiyo muasisi wa ufisadi tanzania.
 
eti security guard!awajamaa wanafikiri watanzania waoga kiasi icho?ccm imeanguka na inapotea!mi mwenyewe ccm ila nimeitupa kadi ya ccm nimechukuwa ya chadema!na kura yangu Lowasa tu amna namna nyingine na UVCCM SITOKI NA SIRI ZOTE NITAVUJISHA!NAWACHUKIA CCM KUTOKA DAMUNI NILIPOGUNDUA NI CHAMA CHA UNYONYAJI WANANCHI!CCM WAMETOA BILION 150 KUIZARAMBATISHA UKAWA ILA AMTAWEZA!MANA MNAUWA WATU WENGI TANZANIA!IZO HELA KWANINI MSIPELE HOSPITALINI MWAPE WATU DAWA BURE?KWANINI MSIPANDISHE MISHAHARA?WATU WANAKUFA NA NYIE MNAFANYA MCHEZO NA KODI ZETU?KAMA KWELI MAGUFULI NI MSAFI MNAFUATA UKAWA NINI ILI KUISARAMBATISHA?CCM HI SI ILE NINAYOIJUA MIMI!WATANZANIA TUBADILIKE NDUGU ZANGU!MWENYEKITI ANATAKA KUFANYA URAISI NI WAUNDUGU,MARAFIKI,WAFAMILIA PAKA MTOTO WAKE ANASEMA RAISI AFAI KUTOKA KASKAZINI?NANI KASEMA?MUNGU ANAIKATA CCM KWA KAULI ZAKE NA VITENDO VYAKE!KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI KIMETOBOKA AKIWEKI ATA MAJI TENA!NI UKAWA TU NDIO TUMAINI LETU!
 
Muongo Lowasa ndiyo fisadi pekee ambaye pia ndiyo muasisi wa ufisadi tanzania.

Kwenye EPA, MEREMETA, ESCROW, BOMBA LA GESI N.K HAKUWEPO HUKO NI TRILLIONS OF MONEY NA HATA HIYO ISSUE YA RICHMOND YEYE SI MUHUSIKA WAHUSIKA WAPO NA BADO WANATUONGOZA KAZI MMEBAKI KUMSINGIZIA MZEE WA TU, MBONA MWAMONEA HUYU RAIS MTARAJAIWA?
 
Wachumia tumbo, wasaliti wakubwa nyie au kwa vile na nyie mnanufaika na mfumo ccm, ifikie siku nafsi ikusute umwonee huruma basi hata mtoto wa jirani yako aliyeshindwa kwenda chuo kwa kukosa mpoko na kuaminishwa serikali yake haina hela, wakati viongozi wake wanagawana pesa kwenye marambo, na wengine million kumi wanaenda kununulia mbog. SHAME ON YOU!!??
 
Nafurahia maana hayo ni maandishi tu lakini hata mioyo yao inatamani mabadiliko, kama ilivyo mwaka huu, sare ni kijani, kadi ni kijani lakini kura zote UKAWA. Hakuna kijana anayeipenda CCM, tukutane October CCM kikiwa ni chama cha upinzani.
 
Mwaka huu ccm tutashinda kishindo ambacho ktj historia ya tz hajawai kutokea na upizani mjue kabisa mwisho wenu wa kelele ni octoba na tukimtangaza magufuli upizani ndo kwisha kabisa vyama vyote tutavitafuta kwa tochi kama tunavyovitafuta TLP na UDP cjui kma vipo ss ni zamu ya cdm na cuf baada ya uchaguz

Unavyoongea hivi kura zote utapiga mwenyewe?
 
Msikimbie wakati CCM inatangazwa mshindi...shame on u na Mpango wa Mungu wenu
 
Lowassa ndio atawanyoosha wakuda nyie,nusu karne nchi bado tegemezi,mikataba mibovu ya mafuta na gas ni laaana itakayo ing'oa ccm madarakani
 
Kwani JK ni mchaga? Acheni kumtukana rais
Rais huyo huyo atalaumiwa na historia kwa kutomchukulia hatua stahili rafiki yake ambaye "hawakukutana barabarani" hadi hatua hii ambayo urafiki unakiweka chama rehani kisiasa.
Zingatia.
 
Wakati nyie wachumia matumbo mnamvamia sisi wazalendo tunaotaka mabadiliko tutakua wapi wapi?
Ni jino kwa jino...nitamuunga mkono Lowassa mpaka mwisho wa maisha yangu.
Yeye kwangu ni shujaa, nimejifunza mengi kupitia yeye.
 
Lowassa ndio atawanyoosha wakuda nyie,nusu karne nchi bado tegemezi,mikataba mibovu ya mafuta na gas ni laaana itakayo ing'oa ccm madarakani

CCM wameshajua wanang'ooka madarakani ndio maana wanamwaga mapesa kama hawana akili nzuri.
Fikiria hafla kama ile ya juzi na wasanii Mlimani City ilikua na ulazima gani hasa kwa nchi masikini kama yetu?
 
Unavyoongea hivi kura zote utapiga mwenyewe?

Hata kama c mm peke yangu ccm itashinda kwa style ya aina yoyote ile nyinyi ukawa mmeshaanza kupotezana na kila mtu kumuona mwenzake msaliti kaa ukijua ndani ya ukawa kuna watu wa ccm mule mtakuja kushtuka watu walee ikulu
 
Back
Top Bottom