Hiyo pisi ina sura nzuriBavicha wataiga!
Tena hapo ni baada ya kutembea km 1400 kwa miguu!Hiyo pisi ina sura nzuri
Vp mambo yetu anayo kweli
Ova
Duh!hawakukwea lift hawaTena hapo ni baada ya kutembea km 1400 kwa miguu!
Kuna mtu hapo kaingizwaBado najiuliza mama Samia ameamini hao wametembea kweli dar to Musoma?
"Kwa kuwa jambo hili limetua mikononi mwa raisi mimi na wewe hatupaswi kuwa na doubt"Vijana wawili(wa kiume na wa kike) wa uvccm wamepewa zawadi na Mh.Raisi Mama Samia kwa kuonyesha uzalendo baada ya kutembea kutoka Dar hadi Musoma kwa miguu ili kuhudhuria sherehe za miaka 45 ya CCM.
Mimi pia niwaoongeze maana kutoka Dar hadi Musoma Ni zaidi ya km 1400.
Ila muonekano wa huyu binti unanifanya pia niwe na mashaka ya kuweza kutembea kutoka Dar hadi Musoma.
Ila kwa kuwa jambo hili limefika kwa raisi na kaona ni sawa, basi mimi na wewe hatupaswi kuwa na doubt.
View attachment 2111344View attachment 2111345View attachment 2111346
Bado najiuliza mama Samia ameamini hao wametembea kweli dar to Musoma?
Kuna nafasi kadhaa za Ma DED zipo wazi naona wamepiga sarakasi waoewe na Samia feminist ameona huo ushungi basi huyo demu kaula fasta jamaa asubiriBado najiuliza mama Samia ameamini hao wametembea kweli dar to Musoma?
Wangesema wametumia siku ngapi kwanza, ndio tungekuwa na pa kuanzia , ili tuone ki mahesabu inawezekana!!isije ikawa kama wale wa kigoma kuja dar, km 1500, mtu anatumia siku 14!! Uongo mkubwa!!Vijana wawili(wa kiume na wa kike) wa uvccm wamepewa zawadi na Mh.Rais Mama Samia kwa kuonesha uzalendo baada ya kutembea kutoka Dar hadi Musoma kwa miguu ili kuhudhuria sherehe za miaka 45 ya CCM.
Mimi pia niwaoongeze maana kutoka Dar hadi Musoma Ni zaidi ya km 1400.
Ila muonekano wa huyu binti unanifanya pia niwe na mashaka ya kuweza kutembea kutoka Dar hadi Musoma.
Ila kwa kuwa jambo hili limefika kwa Rais na kaona ni sawa, basi mimi na wewe hatupaswi kuwa na doubt.
View attachment 2111369View attachment 2111370
Hivi ni kweli na Nyerere nae alitembea kwa miguu kutoka Butiama hadi Mwanza kuunga mkono azimo la Arusha alilotangaza mwaka huo?Mbona Nyerere aliamini kuna watu walitoka Musoma kwa Miguu hadi Dsm 1967 kuja kuunga mkono Azimio la Arusha?