commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Kama vile nchi inaelekea mrama hivi...sasa baada ya ile habari ya mabomu Dodoma,na vurugu Dar yote kuhusu katiba, imefuatia hii kutoka Arusha UV-CCM Arusha wanasema wana vijana zaidi ya 9,000 tayari kupambana na CDM,ili kuwazuia wasiandamane kupinga Meya Arusha. Source Chanel ten habari ya saa moja jioni hii.
Na Tegeta nako waua mabaunsa watano,kisa kuzuia ubomoaji makazi...kulikoni.......???
Na Tegeta nako waua mabaunsa watano,kisa kuzuia ubomoaji makazi...kulikoni.......???