Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,140
- 138,239
mbali na maneno ya Diallo,wewe binafsi huyo mtu ulikuwa unamuona sawa?! anakula mhindi jukwaani?kweli rais ni wa kula mhindi jukwaani na kuwaambia kina mama mnataka mpanuliwe wapi 😥😥😥😥yeye ndiye anajua maana ya alichosema,amekanusha wewe hutaki.
nikisema ungana naye unaona nakuonea.hajatishwa maana magufuli wa kufanya hayo amefariki.