TWAAHIR BASGESSI
Member
- Jan 19, 2014
- 86
- 16
CHADEMA acheni kuweweseka tuchambulie neno mojamoja.ndio maana mnaishia kulalamika tu kwa kila kitu.
Mbona mnababaika sana. Sasa hapo ni wapi kahatarisha amani?
Bahati njema tulikuwa na umeme maeneo ya kwetu leo na kuutazama mkutano wa "vijana hawa wapumbavu wa UVCCM"Tatizo malezi, mtu kama umelelewa hovyo lazima utukane bila kujali huyu sawa na baba'ko au mama'ko, yaani mi nashangaa sana ccm inapohubiri amani wakati wanatumia jukwaa kukashfu na kutukana bila kujali kuna watoto wanaowasikiliza na kuwatazama, ni aibu sana kwa uongozi mzima wa ccm, tukumbuke kuna maisha baada ya uchaguzi, Mzee wa watu hata ajibu matusi na kashfa zao..!!
mkuu kwani ubungo sio kubenea tena??
Kunya sterehe mbona ww unaharisha una kipindupindu..