Madenge Origino
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,847
- 1,095
Huyo tumemchoka kama tulivyomchoka binti yake Sitti!
Kwanza nimesikitishwa na kauli zilizokua zikitolewa na Viongozi wa UVCCM za Matusi huku wakijua fika mkutano uko live.
Suala la Pili ni uwepo wa watu ambao siyo wa Temeke hali iliyoleta tafrani baadaye ambapo Mabasi madogo aina ya Costa na Uda yalikua mengi kuanzia hapa mwembeyanga kama stendi ya mabasi ya mikoani Ubungo nimeshangazwa na vijana walioulizwa wangapi mtampa kura mtemvu wakanyoosha mikono juu wakati siyo wapiga kura wa Temeke.
Katika hali ya kuonesha kutoungwa mkono walitangaza kuwa akina Juma Nature watakuepo na Wasanii kibao pia Magufuli atakuepo kupitia Redio ya Clouds Fm cha ajabu msanii aliyekuepo ni Chidi Benzi tuu na Magufuli hakuepo kama ilivyotangazwa.
Mkutano huo wa mwembeyanga Umesababisha watu wengi kutochukuliwa na kutelekezwa hapa Mwembeyanga umesababisha Wananchi waliokua wamevalia sare Kuachwa na Kwani walikua wamekaa kwa vikundi baada ya mkutano kuisha kusubiri magari yaliyokua yakidhaniwa yatarudi kuwachukua na hayakuja Binafsi nimesaidia Nauli ya Watu watano waliokua wanaenda Kibaha.
Natoa wito kwa jamii ambazo zinadanganywa na kupandishwa kwenye magari Kukataa kwani baada ya mkutano ni karaha CCM imekua ikiwatelekeza Uwanjani.
Mi nipo Kisuma hapa nakula nyama choma.................
Kwani ni uongo? Mbona alijinyea mavi chato. Nyie wajinga kweli kweli. Fisadi lenu ni gonjwa linasemekana linakiharusi ndiyo maana mikono inatetemeka na hawezi kushika mike mkono wa kulia.
Sisiem Kwa Kumtukuta Rais wetu Mnatuongezea Hasira, Tutawatandika Kwa Kura
mkuu kwani ubungo sio kubenea tena??Sera CCM zimeisha, imebaki matusi tu.Wana Ubungo tunasema kura kwa Lowassa na ubunge kwa wakili Ngole wa CUF.
Kwani ni uongo? Mbona alijinyea mavi chato. Nyie wajinga kweli kweli. Fisadi lenu ni gonjwa linasemekana linakiharusi ndiyo maana mikono inatetemeka na hawezi kushika mike mkono wa kulia.
Kwani ni uongo? Mbona alijinyea mavi chato. Nyie wajinga kweli kweli. Fisadi lenu ni gonjwa linasemekana linakiharusi ndiyo maana mikono inatetemeka na hawezi kushika mike mkono wa kulia.
Kunya sterehe mbona ww unaharisha una kipindupindu..