Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Hao wanazidi kutupandisha morali wa kuwachinja tu tarehe 25
Hao wanazidi kutupandisha morali wa kuwachinja tu tarehe 25
Kwani ukiwa na morali unakuwa na kura ngapi? au ni ile ile moja?
Usiwe ma munkari mpaka ukaharibu kura yako.
Na nyie tukaneni humu, nyie si wazee wa mitandao?? mbona mnakuwa vigeu geu hivyo? mmesahau vijana wa mbeya walichofanya kwa magufuli? kule sio kuvunja amani? muwe neutral bhana, kama habari yako ni ya kweli basi uvccm wamekosea, ila yawezekana alisema hivyo akimaanisha kitu kingine na wewe ukamtafsiri kama alivyosema.
Mkuki kwa nguruwe ....
Kwani amesema uongo? Mgombea wenu akijinyea na watu wakaona na kuzunguzia inakua ni kosa la jinai? Hebu jiulize wewe ukijinyea kazini wenzako hawata hadithia?
Kwani amesema uongo? Mgombea wenu akijinyea na watu wakaona na kuzunguzia inakua ni kosa la jinai? Hebu jiulize wewe ukijinyea kazini wenzako hawata hadithia?
asili ya matusi yametokea chadema ccm wakawa wanaduwaa na kuwa matusi mfululizo nao ccm wanajibu mapigo sasa machungu
Mimi naona tukae kimya majibu yetu 25/10/2015 ndiyo watajua baadae ya hapo atawashugurikia
"jeshi la policy"????,,,advocate wa chekechea ww
Mtabakia kulalamika tuu