Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
mwanaye mkulu ridhiwani kikwete inasemekana katoa tamko tata kwamba CHADEMA wanachezea wembe mkali. Kijana huyo inasemekana katamba katika kilabu cha pombe moja hapa mjini kwamba serikali imejipanga kushulikia Chadema na kiherehere chao hadi wasalimu amri kwani wamekuwa wazushi mno na wachafua amani. Hivi ridhiwani ni nani [QUOTE]
Mambo ya kwenye vilabu vya pombe kayamalizeni hukohuko.