Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
Haa...what else could you expect from him,or any body else from that "clan" for that matter? Political Mutation ilishawaharibu hawa watoto, mawazo ya baba na babu zao yalivyopinda na kuamini kwa dhati kabisa kuwa "CHAMA" kina umuhimu wa kwanza hata ikibidi kwa gharama ya TAIFA; basi na vitoto vyao vikazaliwa vikisikia hilo,vikiona hilo,vikiwaza hilo....na yes,ndo maana vinaongea hilo!Haya ni maneno yake Nape Moses Mnauye kwenye ukurasa wake wa Facebook (Uso wa kitabu):
"YAMETIMIA YALIYOTABIRIWA NA MABADILIKO YA BENDERA YA CHADEMA KUONGEZA RANGI NYEKUNDU KATI YA ZINGINE,KUMBE NDO ULIKUWA MWELEKEO?!"
My take, niliamini kwamba ni mtu mwenye mtizamo chanya, kumbe yeye ni mmoja wa walewale, safari bado ni ndefu!!!!!!
Hapa ndipo mahali ambapo mwalimu alikufa kabla hajapakamilisha; Alikua mbioni kufundisha ukweli huu though wakati mauti ilipo mchukua. Aliposema "..CCM sio mama yangu.." alimaanisha kuwafundisha ukweli huu. Angeishi mpaka leo naamini angemalizia somo lake kwa kuachana na CCM na kuambatana na Tanzania. Hawa sasa watafunzwa tu na ulimwengu,na wakati umekaribia sana!
FREEDOM IS COMING TOMORROW!!