UVCCM Morogoro wampinga Malecela

UVCCM Morogoro wampinga Malecela

chunguza vyema kundi la mbuzi lenye beberu dhaifu...basi kila kibeberu hata cha miezi mitatu hupiga kelele aonekane kdume..
 
CCM kweli watu wa ajabu. Wazee wazima wanathubutu kupiga Watanzania wenzao kwa mawe? Kama inawezekana,naomba jina la huyo mzee aliyevaa baraghashia, na huyo kijana aliye upande wa kulia ambaye amebeba tofali. Huyu kijana kushoto aliyebeba faili na jiwe anoanekana kama kibaka kiasi. Nadhani alikuwa hajuia afanyalo. Mwenye shati jekundu hapo katikati ni polisi kanzu? Mdomo umekaa kiasi kama wa mtu wa policcm.

Miaka ijayo, huyu kamanda anayepigwa mawe hapa atakumbukwa wakati wa sherehe za mashujaa. Na huyo mzee ataitwa ofisini ajieleze.


attachment.php
 
EL ni chaguo la mungu hakuna wa kumzuiya.

Mungu gani atamchagua Richmonduli awe Rais? Si atauza nchi? Ona alivyofanya vibaya alipokuwa Waziri Mkuu!

Naelewa kundi la EL linajaribu kusema hakufanya kosa kwenye Richmond. Ila ikumbukwe akina Mwakyembe walikusanya ushahidi, na ni huo ndiyo ukamtosa.

Pili, huyu ana uelewa mdogo, na hakubali ushauri. Ona alivyotaka kutuingiza kwenye mkataba wa kuleta ndege za kutengeneza mvua! Si ujinga wa kupindukia huo? Cloud seeding cannot be used to fill Mtera Dam as he thought. Lakini alisisitiza tuingie mkataba, na kama sio kibarua kumwishia angetuingiza huo mkenge. Alifanya tukadharauliwa sana! Sijui alikuwa na mkato wake?

Vile vile, ni mlevi wa madaraka. Kumbuka alivyomfukuza Injia wa Ilala kazi eti kwa sababu jengo lillianguka. Utadhani huyo Injinia ndiye alikuwa contractor! Watu wa namna hii wakiwa Rais wataonea wananchi vibaya mno!

Nashauri apumzike kikweli huyo mzee. Ndoto zake za Urais zibaki tu kuwa ndoto za mtu mzee.
 
point!!!- uvccm morogoro mko sahihi.
Malecela amefilisika kiakili, ajitambue kwa sasa anatakiwa kuwa na busara na kuwa makini na siasa za maji taka. Nyazifa alipata tangu uhuru zinamlinda na vijana ambao ndio taifa la leo wanategemea kuchota hazina yake .Kumuhukumu Lowasa hazarani inaonyesha dhahili Mzee huyo alivyo na akili mgando.Wewe Malechela mbona Nyerere alikufukuza kazi ulipokuwa Uingereza? We Mzee uache watu wenye wide mind spectrum walumbane, wewe hata familia yako uliiterekeza ukapoteza dira mpaka mahuti zikawakuta.Mbona Membe,Sita Huwashambulii
 
Back
Top Bottom