GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
UVCCM hebu niambieni GENTAMYCINE hivi kweli Dk. Bashiru Ali ni Adui yenu Kumzidi Adui Mkuu huyu wa Watanzania wote aliyeko CCM?
1. Fisadi na Mficha Hela za Misaada
2. Mlevi wa Wine na Muhuni
3. Mdini kupita Maelezo
4. Mbinafsi wa kupenda
5. Mlipiza Kisasi kwa Aliyemtangulia
6. Mpumbavu aliyeshindikana
7. Mnafiki na mpenda Umbea
UVCCM nilishawadharau Kitambo tu na kwa mlichokifanya Juzi, Jana na Leo dhidi ya Dk. Bashiru Ali sasa ndiyo Nawadharau na Nitawadharau mpaka Kiama kikija.
Hamna Akili Wanafiki na Chawa wakubwa nyie. Chaguzi zote za CCM za hivi Karibuni zimegubikwa na Rushwa za Wazi Wazi mbona wenye Akili Kubwa kuwazidi hatujawaona mkilikemea kwa Nguvu hizi hizi mnazomuandama nazo Dk. Bashiru Ali.
1. Fisadi na Mficha Hela za Misaada
2. Mlevi wa Wine na Muhuni
3. Mdini kupita Maelezo
4. Mbinafsi wa kupenda
5. Mlipiza Kisasi kwa Aliyemtangulia
6. Mpumbavu aliyeshindikana
7. Mnafiki na mpenda Umbea
UVCCM nilishawadharau Kitambo tu na kwa mlichokifanya Juzi, Jana na Leo dhidi ya Dk. Bashiru Ali sasa ndiyo Nawadharau na Nitawadharau mpaka Kiama kikija.
Hamna Akili Wanafiki na Chawa wakubwa nyie. Chaguzi zote za CCM za hivi Karibuni zimegubikwa na Rushwa za Wazi Wazi mbona wenye Akili Kubwa kuwazidi hatujawaona mkilikemea kwa Nguvu hizi hizi mnazomuandama nazo Dk. Bashiru Ali.