UVCCM Mkoa wa Arusha wamnyamazisha Ulimwengu

UVCCM Mkoa wa Arusha wamnyamazisha Ulimwengu

Taarifa imejaa WOSIA Kwani ni AJABU Raisi Kushtakiwa KWANZA tunapotoshwa Hamna pahala popote kwenye Katiba yetu pamesema Raisi akitoka madarakani hatashitakiwa mbali na akiwa madarakani... Kikwete apelekwe mahakamani ajibu kama kuna tuhuma Dhidi yake
Ni ujinga kushangilia kuona watumishi hewa,, makontena yanapotea watu walikwepa KODI alafu kuzomea inapohitajika kiranja mkuu wa madudu haya kuffikishwa mahakamani NI UJINGA
Kumbe hakuna? Ngoja nicheki katiba yangu.
 
Ulimwengu kasema kweli tupu.Kilichotakiwa ni utekelezaji wa naoni yake.JK aburuzwe mahakamani,ikibidi katiba irekebishwe Marais washitakiwe ili kuweza kujenga nidhamu katika nyanja zote nchi hii.
Hao UVCCM vilaza tupu,kwanza Arusha hakuna ccm
 
Naunga mkono kauli ya uvccm arusha,jenerali ni mmoja tu kati ya wengi wanayoikosoa ccm na viongozi wake kutokana na kukosa manufaa binafsi lakini wakijifanya watetezi wa watanzania,hata baadhi ya waliojitoa ccm kwa hasira kutokana na kupigwa chini wengi wao watarejea kabla ya 2020 mtawaona.
Sanif...,
Wewe unamjua Jenerali Ulimwengu kweli...? Hivi kwa biashara yake ya magazeti kwa zaidi ya miaka 15 atakuwa na njaa gani...? CCM ndio mahala pa kupata maslahi tuu peke yake hapa nchini...?
Kwa taarifa yako ccm hakuna maslahi yoyote zaidi ya dhuluma, ufisadi, kuuza ardhi za wananchi, na mambo mengine ya HOVYO kama hayo.... Watu wamekichoka chama chenu..., kipo mpaka leo kwa sababu ya Polisisiem tuu...
 
Hili ni tamko au bongo movie?
Jenerali Ulimwengu amegongesha Kisu kwenye mfupa wa CCM vilio vimeanza kurindima.
 
Nitashangaa jf wakiwaamini hawa vibaka.....nina ushahid kina jumanne mjus na munus kuwa ni.vibaka.maarufu hapa Arusha sio watu wa kuwaamini ....kwanza Arusha hakuna UVCCM ni genge la vibaka....
 
Hivi hii uvccm Arusha inaongozwa na vilaz gani?

Naombeni majina yao niwajue maana kila siku matamko huku chadema ikitamba kila chaguzi, wameshindwa kukisaidia chama wamebaki kutoa matamko ya kijinga kabisa,

Ulimwengu katoa maoni yake na katiba inamruhusu kasema ukweli kabisa.

Kama vijana wa sasa tungelizaliwa mwaka 1960 kushuka chini tusingelidai uhuru na hii yote ni kutokana na kuzidi unafiki, kujipendekeza na uvuvi wa kutafuta kipato halali mtu yupo radhi ajitoe akili ili apate kula.

Tanzania ya viwanda ni ndoto.
Jumanne mjusi,
Rama mkuluu,
Kabelwa,
Munis, Felii na Beka Buluz ndiyo vijana wa UVCCM arusha walio toa hili tamko ugoro.
 
Jumanne mjusi,
Rama mkuluu,
Kabelwa,
Munis, Felii na Beka Buluz ndiyo vijana wa UVCCM arusha walio toa hili tamko ugoro.
Eti hawa ndo wanaweza kupambana na jenerali ulimwengu......vibaka huku ungalimited....wakija kwapua mikoba ya kina mama tutawachoma ..moto
 
Katika vyama tulivyonavyo tuangalie pia na Sifa za kuwa kiongozi. Kufanya siasa Baada ya kukosa mbadala nayo ni kigezo?!?!!. Inachefua kuendelea kuwa na watu wa namna hii karne hii
 
Hongeraaa xn kumwelisha hyo ******** ana chuki na nyongo hatuhitaji mchango wa aina yyte ile kutoka kwke
Umeshajichokea kama chama cha mwendokasi. Maneno mabaya ya nini, kama si uchovu wa fikra au uvivu wa kufikiri?
 
misukule hawa wametuchosha
kila sku matamko ya kijinga tu yaani awa vijana baada ya kugeuzwa misukule wamejisahau kabisaaaaa
wanaongea ujinga hadi nahsi kutapika
wakati mwinvine huu ujinga usiuwekwe humu maana wengine tuna hareji na hii misukule(vijana wa lumumba)
 
Hakuna hoja yyte hapo. Kama ya kwake mnaemsema kua kakosea. Katika imani zenu.jengeni hoja hapa nikweli kua katiba haijapatikana n pesa zote zimekwisha wekwa mfukoni kwa wajanja wachache tu ndani fisihemu yenu.
 
Unajua uwongo ni uwongo tu hawa watoto wa ccm walijua wapi yote haya haya ya mtu mzima kawatumia waache kutumiwa Ulimwengu ni mtu na heshima zake ajibiwe na wenye heshima zao siyo mtu wa kutaka vyeo alishavikataa hata ukuu wa wilaya tena enzi za mwalimu
 
Kuna mahali kwenye tamko lao( kweli tamko) hawa ****** wanasema Kikwete kamwe hawezi kushitakiwa...sasa kama hawezi kushitakiwa, iweje shingo ziwashupae na kuanza kumsimanga Jenerali?

Ukiona hivyo ujue za USO zimewapata.Maana hata pale wanayemtetea angeweza kujitetea alishindwa sababu anajua udhaifu wake.
 
Bongo ukikosoa serikali tu basin unakosoa kwa sababu umemyimwa cheo.

Hivi mtu anawezaje ku probe kwamba unakosoa kwa sababu umenyimwa cheo?
 
Back
Top Bottom