elimu na uwezo wake wa kutambua mambo ndo umefikia hapo na akaona huo ndio mchango wake...usimshangae mtazamo wake ni mfupi sana....anatakiwa ajue tume haipo kwa ajili ya kukubalia maoni ya ccm bali maoni ya wananchi zaidi ya milion 45....akiwemo na yule aliezaliwa leo