mambomengi
JF-Expert Member
- May 16, 2009
- 829
- 242
Ni wachache ndani ya CCM wanaoweza kujikosoa, huyu mtoto amenena hata kama si raia wa TZ. Mbona maraia wanafisadi maliasili ya nchi. Tunahitaji watu kama hao wenye jeuri ya kuwaeleza ukweli wazee Chamani.Bashe amepata wapi mamlaka ya kuongelea mambo Tanzania? Huu si uchokozi kwa raia wa nchi moja kuingilia siasa za another sovereign nation?