jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana mkoani Arusha ndugu Saitot Zelothe amemuhakikishia Rais Magufuli uungwaji mkono kutoka mkoani hapo na kuweka wazi kuwa hawatarajii kumsikia mwanaCCM atakayetia nia ya kugombea Urais kupitia CCM 2020 kutokea Arusha.
Hii ni kutokana na Juhudi na matokeo ya haraka na yasiyo na mlinganisho ya Serikali ya Rais Magufuli ndani ya kipindi cha miaka 3.
HERI YA MWAKA MPYA
Hii ni kutokana na Juhudi na matokeo ya haraka na yasiyo na mlinganisho ya Serikali ya Rais Magufuli ndani ya kipindi cha miaka 3.
HERI YA MWAKA MPYA