Uvaaji wangu umekuwa kichekesho

Uvaaji wangu umekuwa kichekesho

Vaa jezi ya Man United chin vaa jeans...lazma usifiwe kila kona unatakapopita

Manchester-United-Red-Sweatshirt_780c59a8c96e7ac408903d005a71376e_images.jpg
 
Piga mokasin,soksi za kitenge,kaptula ya blue,kikoi na kofia ya CCM.Hapo mchezo umeisha huongei mara 2.Ukipata na kapafyum ka cobra ndio kabisaaa.
 
Nikafikiri wanawake tuu ndio wanaokompliketi mavazi, kumbe hata wanaume!! Mh!
 
Kwani huwa unavaaje

Nadhani picha ingetusaidia kukushauri
 
Weka picha tuone umbo lako, then tukushauri jinsi ya kuvaa
 
TUSIPIK... "Toothpick"
Weka picha yako kwanza tujue jinsia na mwonekano wako.
Rahisi kusauri.

Naweza kushauri uvae kaptura kumbe una tusipik miguuni na kitambi, utaonekana kama samtreala limekata senta bolti.
 
hahahahahaha, Tyta.
 
Last edited by a moderator:
Piga mokasin,soksi za kitenge,kaptula ya blue,kikoi na kofia ya CCM.Hapo mchezo umeisha huongei mara 2.Ukipata na kapafyum ka cobra ndio kabisaaa.

asante.
 
Back
Top Bottom