Uvaaji wa pete kama kinga ama zindiko

Mlachake

JF-Expert Member
Oct 13, 2009
4,412
4,559
1579260093383.png

Kuna kipindi fulani nikiwa nasota Kijiweni na Masela niliuziwa pete yenye kidani chekundu. Kuna rafiki yangu aliona nimevaa ile pete alishtuka sana akanipa nadharia nyingi sana kuhusu hizi pete.

Kiukweli baada ya kama miezi miwili baadae majanga yalianza kuniandama moja baada ya lingine likiisha hili linakuja jingine tena gumu zaidi, mitihani juu ya mitihani.

Kwa jinsi nilivyoteseka, nikaona isiwe taabu, nikaamua kutupa ile pete. Asubuhi niliamka nikairusha nje ya fensi, Niliporudi jioni nikaikuta ndani ya fensi nikajua labda watoto walikuwa wanacheza nje wakaikota wakairusha ndani kwasababu ile nyumba nilikuwa naishi mwenyewe. Ikabidi nimtafute yule aliyeniuzia nikamrudishia.

Sasa sielewi kama yale majanga ni kwasababu ya ile pete au ni misukosuko tu ya maisha kwasababu nilipoteza savings zangu zote.

Hivi ni kweli hizi pete zinahusiana na ushirikina?
 
Siku hizi hirizi hazivaliwi kama zamani unashona mfuko mweusi ama mwekundu ,unavaa kiunoni au mkononi hapana . SIKU HIZI VIJANA WATANASHATI WASHIRIKINA HUVAA HIRIZI ZILIZOFICHWA KWENYE PETE na CHAIN (mfano AK.47 mchezaji maarufu)
 
Siku hizi hirizi hazivaliwi kama zamani unashona mfuko mweusi ama mwekundu ,unavaa kiunoni au mkononi hapana . SIKU HIZI VIJANA WATANASHATI WASHIRIKINA HUVAA HIRIZI ZILIZOFICHWA KWENYE PETE na CHAIN (mfano AK.47 mchezaji maarufu)

Hapo kwenye AK 47 sina coment. Ila kimsingi sina imani na hizi hirizi
 
Mimi pia zamani kidogo niliwahi okota yenye kichwa cha fuvu la mtu, nikavaa bahati siku si nyingi sister angu mlokole akaiona akanigombeza sana kwamba zina majini nikaivua na kuitupa,ila haikunipa mauza uza.
IMG_20200117_154840.jpg
 

Kuna kipindi fulani nikiwa nasota Kijiweni na Masela niliuziwa pete yenye kidani chekundu. Kuna rafiki yangu aliona nimevaa ile pete alishtuka sana akanipa nadharia nyingi sana kuhusu hizi pete.

Kiukweli baada ya kama miezi miwili baadae majanga yalianza kuniandama moja baada ya lingine likiisha hili linakuja jingine tena gumu zaidi, mitihani juu ya mitihani.

Kwa jinsi nilivyoteseka, nikaona isiwe taabu, nikaamua kutupa ile pete. Asubuhi niliamka nikairusha nje ya fensi, Niliporudi jioni nikaikuta ndani ya fensi nikajua labda watoto walikuwa wanacheza nje wakaikota wakairusha ndani kwasababu ile nyumba nilikuwa naishi mwenyewe. Ikabidi nimtafute yule aliyeniuzia nikamrudishia.

Sasa sielewi kama yale majanga ni kwasababu ya ile pete au ni misukosuko tu ya maisha kwasababu nilipoteza savings zangu zote.

Hivi ni kweli hizi pete zinahusiana na ushirikina?
Tena sio pete tu bali pia mikufu, hereni, bangili, na hata mikanda ni baadhi ya vitu vinavyotumika sana na ulimwengu wa giza kuwaingiza watu katika ushetani kwa wakijua au hata bila kujua.
 
Tena sio pete tu bali pia mikufu, hereni, bangili, na hata mikanda ni baadhi ya vitu vinavyotumika sana na ulimwengu wa giza kuwaingiza watu katika ushetani kwa wakijua au hata bila kujua.
Kweli mzee mi kuna wakati nilimpa rafiki yangu tai anifungie kuchungulia nyuma akakuta kuna picha ya mwanamke yuko uchi kabisa akanionyesha tukaichoma moto, ndo unaweza ivaa unakuta siku nzima we unawaza ngono ngono tu, hata hizo pete nyingine zinauzwa kwa masonara ukiipenda ukainunua ukivaa tu mambo yanaanza, shughuli hiyo.
 
 
Hivi kweli ile ya AK 47 ilikuwa ni hirizi? au ni chain kama anavyodai yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema hivi nielewe tafadhali siku hizi waganga wa jadi ni vijana sii wazee kama zamani hivyo wameboresha ushirikina wao ukione kijana wa mujini kavaa mapete kibao makubwa ama ma chain shingoni mithili ya minyororo ya mbwa basi yamefichwa ndani yake maligafi ya kishirikina. KWA MAANA NYINGINE WAGANGA WAMEBORESHA VIFUNGASHIO VYA HIRIZI SASA HIVI WANATUMIA PETE NA CHAIN KUONGEZA DHAMANI. ILE YA AK.47 NI YENYEWE HALISI ILIKUWA KWENYE KIFUNGASHIO CHA CHAIN
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom